Shikamoo Alikiba, shikamoo Diamond!

Hapo mlengwa mkuu ni Diamond platnumz kwa huu Uzi na siyo Ali Kiba.
Huja balance hata kidogo umeegemea upande mmoja ndugu,Sijajua imewaza nini au X_Mass ulikula matikiti.
nadhani itakua zaid ya matikiti maana mm nilikula ugali mlenda xmas lakin nawaza fresh tu sio kama hiv.
ahahahaha
 
Mtoe kiba hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka ndio umeanza huu badala ya kukaa na kuwaza ni namna gani tutatoboa kimaisha, tunakwenda kuwajadili watu wenye mafanikio yao!! Vijana tunafeli wapi?!!

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
ha ha ha ha ha!
vyuma kaka, kila kitu bado kiko vile vile.....jobs, spouse and targets remain the same, only the calendar has changed!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…