mkuu hizo ni special order toka kiwanda cha benz jamaa anataka kuwa unique afu ile humer ya gwajima zipo nying
mkuu naona unabishana na mfumo dunian kote mtu analipwa kutokana na kiwango cha elimu yake km wanaona 8000 haiwatoshi waache kazi wakawe wajasiriamali hta hyo bakheresa angeamua kuwafanyia kazi watu wengine mpk leo angekuwa maskini...... kwa hyo ni suala la uamuzi km utaamua kumfanyia kazi umtajirishe mtu au ufanye shughulo zako mwenyewe utajirike