Shikamoo Azam


Mkuu kama kweli anawalipa vibarua 8000 kwa siku basi analipa vizuri sana nenda industrial area mikocheni uulize wanalipwaje kwa siku utajuta kuuliza wengi wanalipwa 3000 day ukiingia usiku unalipwa 4000 yani ni sheeedaaa! Shikamoo bakhresa!!
 
Kwa mavumbi tuliumbwa na mavumbini tutarudi! Tafuteni ufalme Wa Mungu na hayo yoote mtazidishiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…