haaa hao waganga wakienyeji ndio hawafai mm nasemaga kama wao mafundi kweli watengeneze pesa Zao.....sasa akikuona utakoma utaambiwa ili nuksi itoke ulete jogoo mwekundu Aliyeshiba keshapata mboga ya siku iyo we mwenyewe umekata miezi sita radha ya kuku umeisahau ikoje...kweli mganga aagizi tembeleeeπ±Hadithi za kuna mkono wa mama juma anashirikiana na mzee jongo nyiiingi!Januar.......kweli komesha.Wanaoudhi sana ni hawa waganga wa kienyeji wao hawana gonjwa lingine zaidi ya umerogwa au umechafuliwa nyota yaani nao eti ni kipindi cha kuchuma.Yaani ni stress juu ya stress
πππ ha ha ha ha kweli shikamoo January aiseeeh..nimechekaaa sanaaaJanuary noma sana!
Kuna jamaa kataka kuniuzia Paka, nikamjibu nyumbani mbona hakuna panya... kanipunguzia hadi bei na kuniahidi panya atawaleta baadae jioni...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Kabisa mwezi mgumu huu kushindwa hata ugumu wenyewe....mambo mengi mnoHuu mwezi ukifanikiwa kuutusua vzuri basi kunakofata ni mtelemko !!.
Hahahaaa tatizo sikuku nawatoto kwenda shule ,kulipa Ada weeeee sio mchezo .lazima watu wajipange hasaaaKabisa mwezi mgumu huu kushindwa hata ugumu wenyewe....mambo mengi mno
Hahaaaππyahn unaanzaje visababu Mara hizi kucha mbona hazifanani na Mimi sisi kwenye ukoo wetu hakuna mwenye kichogo huyu mtoto kakitoa wapi....ππππ
amazingHivi ushawahi kuwa na stress za mwezi January mpaka rafiki yako anakuambia harusi ya Dada yake kesho.......wewe unamuuliza mwili unafika saa ngapi.....πππππ
ππ±
Nimeicopy sehemu Fulani......
utajiju mwisho wa mwaka kunatisha axeee sikukuu ,mbili huku shamba hukukodi kwa mabepari ,na mbegu ,kulima ,kupanda ,ada ,nguo za wanafunzi, kalamu ,na daftari viatu kweli tz bado mamboπ±January ni KIPINDI CHA MPITO sio simu zote napokea kipindi hiki.
mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmmmmmaaaaaaaaammmmaHivi ushawahi kuwa na stress za mwezi January mpaka rafiki yako anakuambia harusi ya Dada yake kesho.......wewe unamuuliza mwili unafika saa ngapi.....πππππ
Nimeicopy sehemu Fulani......
Wanasemaga kila mtoto anakuja na bahati yakeYote Tisa sasa usiombe kama umeoa na mkeo kajifungua january
Na muuza Mbwa baada ya kuzunguka sana bila kupata wateja...January noma sana!
Kuna jamaa kataka kuniuzia Paka, nikamjibu nyumbani mbona hakuna panya... kanipunguzia hadi bei na kuniahidi panya atawaleta baadae jioni...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mmmh maneno tu hayoWanasemaga kila mtoto anakuja na bahati yake
Madam watu tumezoea kuongea peke yetu mbona mpaka kunamuda unaamua kujiburudisha na wimbo wowote ule as if vipindi vye redioHa ha ha ha haaa akyamungu kwa mateso hayo asante mungu kwa kuniumba KE....maana unaweza tembea unaongea njiani peke yako kama chizi
Kujifungua tena !!!, yaani hapo utakomaje ???. Kwa jinsi vyuma vinavyokaza Mwezi huu acha tu. Huku niliko Mwezi huu na Februali huitwa Miezi Kona.Yote Tisa sasa usiombe kama umeoa na mkeo kajifungua january