Shikamoo January

Shikamoo January

January noma sana!
Kuna jamaa kataka kuniuzia Paka, nikamjibu nyumbani mbona hakuna panya... kanipunguzia hadi bei na kuniahidi panya atawaleta baadae jioni...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Hadithi za kuna mkono wa mama juma anashirikiana na mzee jongo nyiiingi!Januar.......kweli komesha.Wanaoudhi sana ni hawa waganga wa kienyeji wao hawana gonjwa lingine zaidi ya umerogwa au umechafuliwa nyota yaani nao eti ni kipindi cha kuchuma.Yaani ni stress juu ya stress
haaa hao waganga wakienyeji ndio hawafai mm nasemaga kama wao mafundi kweli watengeneze pesa Zao.....sasa akikuona utakoma utaambiwa ili nuksi itoke ulete jogoo mwekundu Aliyeshiba keshapata mboga ya siku iyo we mwenyewe umekata miezi sita radha ya kuku umeisahau ikoje...kweli mganga aagizi tembeleee😱
 
January noma sana!
Kuna jamaa kataka kuniuzia Paka, nikamjibu nyumbani mbona hakuna panya... kanipunguzia hadi bei na kuniahidi panya atawaleta baadae jioni...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
😀😀😀 ha ha ha ha kweli shikamoo January aiseeeh..nimechekaaa sanaaa
 
Hivi ushawahi kuwa na stress za mwezi January mpaka rafiki yako anakuambia harusi ya Dada yake kesho.......wewe unamuuliza mwili unafika saa ngapi.....🙂🙂😀😀😀



Nimeicopy sehemu Fulani......
mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmmmmmaaaaaaaaammmma
 
January noma sana!
Kuna jamaa kataka kuniuzia Paka, nikamjibu nyumbani mbona hakuna panya... kanipunguzia hadi bei na kuniahidi panya atawaleta baadae jioni...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Na muuza Mbwa baada ya kuzunguka sana bila kupata wateja...
Kaamua kumwachia mteja Mbwa wiki nzima acheki kama Mkali apewe chake... Na kama ni Jibwa koko amchukue...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Labda! Siwezi kuisemea hiyo maana sijui majukumu ya wengine.
 
Ha ha ha ha haaa akyamungu kwa mateso hayo asante mungu kwa kuniumba KE....maana unaweza tembea unaongea njiani peke yako kama chizi
Madam watu tumezoea kuongea peke yetu mbona mpaka kunamuda unaamua kujiburudisha na wimbo wowote ule as if vipindi vye redio
 
Back
Top Bottom