Shikamoo Kamikaze

Yaani wanaume huwa hamkubali kushindwa cjui ni vp[emoji23] [emoji23]
Mimi sishindanishi,ila nimeongea mshangao wangu na huenda huko mliko kuna upungufu wa ma handsome ndio maana labda huyu mnamuona ni zaidi.
 
Basi ulikosea aisee. Ni hivi kumsifia mwanaume mbele ya mtu wako kwa sisi wanaume huwa hatupendi.

Hata huu Uzi umedhihirisha hilo

Nilikuwa naangalia moja ya movie za huyu jamaa .. Nampendaga sana so nikajikuta nisharopokwa[emoji3] [emoji3]
 
Vitamu kama hivi vipo vichache baba
Vipo sema ishu ni umaarufu kuna wengine hawapo famous so kuwajua ni ngumu unapokuwa maarufu au innovative wa kitu fulan lazma upendwe na watu imagine jama anegekuwa sio mwanamuziki but still angependwa na wanawake
 
Vipo sema ishu ni umaarufu kuna wengine hawapo famous so kuwajua ni ngumu unapokuwa maarufu au innovative wa kitu fulan lazma upendwe na watu imagine jama anegekuwa sio mwanamuziki but still angependwa na wanawake
Naomba nitafutie mmoja asiye maarufu kati ya hao wengi ili nimfanye spare tyre kwa kweli hahaha Shem wako ana manyavu nyavu tu, kanoga Ng'ani (kati)
 
He must be very self conscious and conceited about his looks every time he gets out of bed.
 
Mimi hapa.
 
walahi angekuwa wangu ningekuwa na presha
dakika hii kinyama ugomvi kishanisimama hapa kibooooooooooooooo.... ni mu handii oyoo
 
Hakuna namna, akuowe tu sasa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…