Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivuuuu hehehe mwanaume akiwa anavutia anajipenda eti shoga huhuuu tunawapenda hivyo hivyooHalafu wanaume wengi mmemaimdi... lakini mbona tukiwasifia kina Wema,Zari, Huddah wanawake huwa wanatulia tuu...
saa sahzi mara mseme ushoga mara nini..
Bora umenisaidia yaan humu ukisifia mwanaume ni kosa,,,lo waelezeeeeWanaume tucheze Fair play jamani, huu mchezo hauhitaji hasira. Naona wengi mnachuki ya mwenzetu kusifiwa na watoto wa kike. Mbona sisi tunawasifiaga wakina wema, jokate, nk wao wanakaaga tuliii. Some times huwa tunasifia mat.ako yao nk wao wanatuliaga tuliii.
Piaa wahenga (wahenga wa siku hizi siyo wa zamani[emoji2]) kila biaahara ina mteja wake. So play calm. Huu mchezo hauhitaji nguvu.
Mm mwenyewe nilikw sijui ni MTU mmoja cul Sana , japo kakaa kishua shuaUyu nae kumbe mtto wa kishua wala hajionyeshagi
Wee mm nazipendaje[emoji39] [emoji39] [emoji39]Sizipendi garden love labda ziwepo kwa mbaliii
Nampendaga mpaka siwez kujizuia nipigwe tu hayo makofi lakn nitamsifia tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]Uyu jamaa acha [emoji12][emoji12]
Kamikaze kibokoo HV kabila gani huyu mtu[emoji39] [emoji39] [emoji8] [emoji8]Nilikuatanaga na huyo izo hotel moja hivi nae ni mzurii ana lips matata ika huyu naona kibokoo
Singida Boy Mnyaturu huyooKamikaze kibokoo HV kabila gani huyu mtu[emoji39] [emoji39] [emoji8] [emoji8]
Bora umenisaidia yaan humu ukisifia mwanaume ni kosa,,,lo waelezeeee