Shikamoo Kamikaze

Shikamoo Kamikaze

Kama kwa huyo pichu zinawalowa watoto wa kike,basi mkiniona mimi mtalowesha hadi nguo mlizovaa nje. Maana ni zaidi ya handsome + pesa + elimu = ??
Nakuja pm sasaa
 
Halafu wanaume wengi mmemaimdi... lakini mbona tukiwasifia kina Wema,Zari, Huddah wanawake huwa wanatulia tuu...

saa sahzi mara mseme ushoga mara nini..
Wivuuuu hehehe mwanaume akiwa anavutia anajipenda eti shoga huhuuu tunawapenda hivyo hivyoo
 
Kiume pesa. Period.
Ukija kuambiwa huyo mukaka naye ana mukaka wake sijui utasemaje?
Dina karibu Diamond hapa tule dona na Sato.
 
Wanaume tucheze Fair play jamani, huu mchezo hauhitaji hasira. Naona wengi mnachuki ya mwenzetu kusifiwa na watoto wa kike. Mbona sisi tunawasifiaga wakina wema, jokate, nk wao wanakaaga tuliii. Some times huwa tunasifia mat.ako yao nk wao wanatuliaga tuliii.

Piaa wahenga (wahenga wa siku hizi siyo wa zamani[emoji2]) kila biaahara ina mteja wake. So play calm. Huu mchezo hauhitaji nguvu.
Bora umenisaidia yaan humu ukisifia mwanaume ni kosa,,,lo waelezeeee
 
Bora umenisaidia yaan humu ukisifia mwanaume ni kosa,,,lo waelezeeee

Hahaahahaaa, ukiona hivyo wengi tunakutamani halafu tunashindwa pa kuanzia. Halafu tukiangalia jamaa yupo mbioni kutunukiwa kipochi manyoya pasipo kutolea jasho, hapo lazima tuchukie. Mbaya sasa hapo iwe kidume ndo usharusha ndoano, unatia sound weeee hueleweki, unahonga wapiii, anakuja mwengine anatongozwa yeye na kulazimishwa, yaaani kidume unatamani upasuke. At some time world is not fair, Na haipo fair toka kuumbwa kwake. All needed is playing calm and wise.

Bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi, Wahenga walisema. ( dah, ndo maana nawapendaga wahenga, Yaani hawa wahenga wangeendeleaga tuu kutoa misemo mipya kwakweli.)
 
Back
Top Bottom