siasa tu izoo..Love doesn't ask why
[emoji23] [emoji23] [emoji23] weka picha tuthaminisheSasa ungeniona mimi si ndio ingekuwa balaa, maana hanifikii hata chembe
Weka picha acha kulalamika [emoji28][emoji28]Wanaovutia ni wasanii tu? Mmelogwa na nani wadada? Ukiniona Dinazarde utanila bila ndimu
We ndo kamikanzeKwan ss wasanii cyo binadam?
Uyu nae kumbe mtto wa kishua wala hajionyeshagiHuyo mtoto wa kishua kama mwenzake jux nadhani wanafanya mziki kwa mapenzi tu
tzshaderoom yupo insta mkuu nae anampenda@tzshaderoom ........
[emoji28][emoji28][emoji28]weka picha tusije tukakumbia kumbe upo kama mwarabu fighterKama kwa huyo pichu zinawalowa watoto wa kike,basi mkiniona mimi mtalowesha hadi nguo mlizovaa nje. Maana ni zaidi ya handsome + pesa + elimu = ??
Sema wewe [emoji23] [emoji23]Halafu wanaume wengi mmemaimdi... lakini mbona tukiwasifia kina Wema,Zari, Huddah wanawake huwa wanatulia tuu...
saa sahzi mara mseme ushoga mara nini..
siwezi kumind hata cku moja mkuuSema wewe [emoji23] [emoji23]
Mfyuuu tutumie pmKuna mtu nitamkwaza,huwa anaingia humu ila mimi sijawahi kumwambia kama naingiaga humu. Sasa nikiiweka maswali yatakuwa mengi sana.
Ninazo namba zake nikupe? kama ndio ni inbox now PM.
Uyu jamaa acha [emoji12][emoji12]View attachment 393929
Nilikuwa naangalia moja ya movie za huyu jamaa .. Nampendaga sana so nikajikuta nisharopokwa[emoji3] [emoji3]
Nilikuatanaga na huyo izo hotel moja hivi nae ni mzurii ana lips matata ika huyu naona kibokookipendacho roho..
wadada wengi wanamtamani huyu kaka...
kwahiyo ni chaguo la wengi...
wazuri wapo wengi ..kina izzo bizness
tatizo lao katika usanii wapo kamahawapo..