Shikamoo Kamikaze

Shikamoo Kamikaze

Sielewi kwanini wanawake wanawapenda mashoga, sasa huyu shoga ataweza kweli kukukaza? Au unataka kusagwa?
 
Baba ako angemfikia hata nusu huyu jamaaa najua ungetukana zaidi ya hapo ulivotukana....hii ndo daslamu
 
Kama kwa huyo pichu zinawalowa watoto wa kike,basi mkiniona mimi mtalowesha hadi nguo mlizovaa nje. Maana ni zaidi ya handsome + pesa + elimu = ??
Subiria ujaziwe PM ndio utajua uhandsome wako uko wapi.
Halafu mwanaume kujisifia haipendezi
 
Nimeona mmeleta wasanii wanaovutia ,kwenye listi yooote mliyoweka huyu kaka hakuna anaemfikia hata robo[emoji108][emoji108][emoji108],au mna makengeza mnaweka kin diamond wana midomo ya kumeza chapati sita unatuambia anavutia?watu wana pua kama mme wa shamsa ford useme wanavutia,jux ana mvuto gani kwa mfanooo,[emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba mumuone huyu kaka aisee popote alipo salute Mungu fundi aisee
Huyu kaka analika aiseee haku a kujiuliza wala kujishauri
Muangalie macho,mdomo,pua paji la uso,kifua cha wastaniii,nywele uhuuuuuuuuuuuuView attachment 393706View attachment 393707View attachment 393708View attachment 393709
We kaka uliko huko Mungu anakuona jamani acha kunitesa mie[emoji23][emoji23][emoji23] halaf una macho kama ya mtu fulani nimemuona kapita View attachment 393710
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka Sana ulivoelezea, Anavutia tho[emoji7] [emoji7] [emoji8]
 
haaahaaahh..mwanaume unarembua,mwanaume unatinda nyusi,mwanaume unapaka lipstick lazima uwe mzuri
 
Ungemsifia bila ya kuponda wengine, kila mtu na mvuto wake. Kwa kuponda wenginr umeishusha post yako kwa kama me as umeleta wivu full stop
 
Diamond is our man, he need our support jamn.
Sio kumfananisha na vitu vya kijinga
Diamond Ana mvuto gani[emoji15] [emoji15] [emoji57] [emoji57] [emoji57] yule ukimuona live mbayaa Ana mipele mipele usoni
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Naona wanaume povu linawatoka....[emoji126][emoji126][emoji126]sema huyo dogo hajamfkia wa kwangu...[emoji41]
............huyo wa kwako umemnunua au umemtengeneza !??
Bouncer women.jpg
 
mimi pia huwa mwanaume akiwa mzuri kabisa sinaga hisia nae hata kidogo..
nafikiri kwa sababu siamini katika tabia zao..
mimi mwanaume wangu natakaga awe body ya kuvutia wastani
sura sio mbaya wala sio mzuri.. kawaida
anajipenda/gentlemen
ilimradi anapiga mswaki na hanuki kikwapa..
kikubwa kuliko chochote tabia yake..
tabia yake ikiwa njema.. nahisi hicho ndio kinanivutia 70%..
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Back
Top Bottom