LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,642
Shemeji anajua lakini usije chezea kichapo I seeAisee huyu kaka analika bila hata kachumbari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemeji anajua lakini usije chezea kichapo I seeAisee huyu kaka analika bila hata kachumbari
Kamikaze sio shoga bhana acheni kashfa au kakuzid ndo maana povu linakutokaa[emoji12] [emoji12] [emoji12]Sielewi kwanini wanawake wanawapenda mashoga, sasa huyu shoga ataweza kweli kukukaza? Au unataka kusagwa?
Weka pic tukuthaminishe[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Wale walePovu vepeee[emoji36] [emoji36] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yaani wanaume huwa hamkubali kushindwa cjui ni vp[emoji23] [emoji23]Kama kwa huyo pichu zinawalowa watoto wa kike,basi mkiniona mimi mtalowesha hadi nguo mlizovaa nje. Maana ni zaidi ya handsome + pesa + elimu = ??
Wanaume wako hivo Mimi kuna siku nilikuwa naangalia movie Fulani ya William levy na mpenzi nikasema huyu mkaka nampendaga nilipigwa Kofi moja hilo sitosahau , yaani sijui wapoje[emoji3] [emoji3]Halafu wanaume wengi mmemaimdi... lakini mbona tukiwasifia kina Wema,Zari, Huddah wanawake huwa wanatulia tuu...
saa sahzi mara mseme ushoga mara nini..
huyu kaka nampenda sana anajua pia
Wanaume hawapendi kupitwa ila huo ndo ukweli jamaa mtanashati wallah Duh! Namnukuu mtoa post "Mungu Fundi" kajaaliwa mtoto wa watu pongez kwa anayemkaza kwa kweli wengine sie tunawatu wana manywele mpaka kudako [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kamikaze sio shoga bhana acheni kashfa au kakuzid ndo mama povu linakutokaa[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ulisema hivyo mbele ya shemejiWanaume wako hivo Mimi kuna siku nilikuwa naangalia movie Fulani ya William levy na mpenzi nikasema huyu mkaka nampendaga nilipigwa Kofi moja hilo sitosahau , yaani sijui wapoje[emoji3] [emoji3]
Waambie hao[emoji23] [emoji23]Wanaume tucheze Fair play jamani, huu mchezo hauhitaji hasira. Naona wengi mnachuki ya mwenzetu kusifiwa na watoto wa kike. Mbona sisi tunawasifiaga wakina wema, jokate, nk wao wanakaaga tuliii. Some times huwa tunasifia mat.ako yao nk wao wanatuliaga tuliii.
Piaa wahenga (wahenga wa siku hizi siyo wa zamani[emoji2]) kila biaahara ina mteja wake. So play calm. Huu mchezo hauhitaji nguvu.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sanaWanaume hawapendi kupitwa ila huo ndo ukweli jamaa mtanashati wallah Duh! Namnukuu mtoa post "Mungu Fundi" kajaaliwa mtoto wa watu pongez kwa anayemkaza kwa kweli wengine sie tunawatu wana manywele mpaka kudako [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna mtu nitamkwaza,huwa anaingia humu ila mimi sijawahi kumwambia kama naingiaga humu. Sasa nikiiweka maswali yatakuwa mengi sana.Weka picha hapa tuthibitishe hatutaki maneno tupu
Ndio mwenzanguUlisema hivyo mbele ya shemeji
Ur welcome Darling [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana
Vitamu kama hivi vipo vichache babaKila Mwanamke ana Fantasy yake cha Ajabu kuna wake za watu wataliwa na huyo jamaaa na Hoteli watalipia haha
Basi ulikosea aisee. Ni hivi kumsifia mwanaume mbele ya mtu wako kwa sisi wanaume huwa hatupendi.Ndio mwenzangu