Habari wanajamvi,
Leo nataka kuongelea hizi shikamoo ambayo ni salamu maarufu Tanzania. Nna miaka 26 nafanyakazi taasisi fulani ya Serikali, sasa ofisi yetu imeleta wanafunzi wa field/ practical training wengi sana, kinachoboa ni zile shikamoo zao hasubui ..yani mabinti na wakaka ambao bado wako chuo sawa, tunapishana miaka miwili, mitatu hadi minne yanajitia matoto yakikuona tu eti shikamoo....ukweli hii salamu inaboa haswaa unaposalimiwa na mkubwa mwenzio.
Nna apriciate hii salamu nikisalimiwa na watoto wadogo, kuanzia form 4 kwenda chini kwa levo yangu, atlist kidogo ina make sense hata mi naskia raha kuitikia shikamoo ya mtt.
Sasa unakuta binti kubwaa limeshazalishwa huko chuo limenenepeana linaanza na shikamoo zake.
Zamani nilikua siwaelewi wasiopenda hii salamu ila sasa naelewa.
Nisalimie shikamoo kama nimekupita 10 yrs less than that, hata habari, mambo, za kwako inakua mzuka..shikamoo zitoke kwa vibaby.khaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nataka kuongelea hizi shikamoo ambayo ni salamu maarufu Tanzania. Nna miaka 26 nafanyakazi taasisi fulani ya Serikali, sasa ofisi yetu imeleta wanafunzi wa field/ practical training wengi sana, kinachoboa ni zile shikamoo zao hasubui ..yani mabinti na wakaka ambao bado wako chuo sawa, tunapishana miaka miwili, mitatu hadi minne yanajitia matoto yakikuona tu eti shikamoo....ukweli hii salamu inaboa haswaa unaposalimiwa na mkubwa mwenzio.
Nna apriciate hii salamu nikisalimiwa na watoto wadogo, kuanzia form 4 kwenda chini kwa levo yangu, atlist kidogo ina make sense hata mi naskia raha kuitikia shikamoo ya mtt.
Sasa unakuta binti kubwaa limeshazalishwa huko chuo limenenepeana linaanza na shikamoo zake.
Zamani nilikua siwaelewi wasiopenda hii salamu ila sasa naelewa.
Nisalimie shikamoo kama nimekupita 10 yrs less than that, hata habari, mambo, za kwako inakua mzuka..shikamoo zitoke kwa vibaby.khaaa
Sent using Jamii Forums mobile app