Shikamoo kweli zinaboa

Shikamoo kweli zinaboa

naunga mkono hoja kwa asilimia zote kuwa shikamoo ifutwe tu!
 
FB_20170811_10_08_42_Saved_Picture.jpg
FB_20170811_10_08_42_Saved_Picture.jpg
 
nadhan hasira zote ni kwa hao madada wanaokupa shikamoo...
mtu akishakutwika shikamoo unaanzaje kumwaga mistari?
pole
Ma Al-Watan wakiamkiwa shikamoo na mtoto bomba ambaye wanaona hastahili kutoa shikamoo huwa wanajibu "Unaniamkia shikamoo unataka kuninyima nini?".

Kesho yake shikamoo kwishney.
 
Mi daily wakinipa shikamoo huwa nawauliza "Unataka kuninyima nini?"[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Shika Moo
Mara Haba

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
asee ili lipo sana yaani unakuta mtu hata ni mkubwa kuliko wewe lakini kwasababu yuko field eti shkamoo dada,,wanakera hatarii sijui wanashindwa nini kusema hata goodmorning
Labda kwa kuwa tumezoeshwa hivyo tokea wadogo ukiona mkubwa wako umsalimie...Unakuta mwingine ni mkubwa wa mwili tu ila kiumri umemuacha...( unamsalimia mdogo wako, )
 
Nashukuru sana kuipata yangu utambike, japo wanasema hata Doto anatakiwa amwamkie Kurwa sasa nashangaa mnaolalamika, msitafute kisingizio nyie ni midomo zege
 
Ma Al-Watan wakiamkiwa shikamoo na mtoto bomba ambaye wanaona hastahili kutoa shikamoo huwa wanajibu "Unaniamkia shikamoo unataka kuninyima nini?".

Kesho yake shikamoo kwishney.
Hii dhahama imenipata leo kanisani kuna mtoto huwa namendea sasa leo eti kanipa shikamoo nimehisi kanifananisha maana sijawahi kusalimiwa..! Kumkomesha ngoja nije nimtongoze mama yake na yeye..
 
Hii dhahama imenipata leo kanisani kuna mtoto huwa namendea sasa leo eti kanipa shikamoo nimehisi kanifananisha maana sijawahi kusalimiwa..! Kumkomesha ngoja nije nimtongoze mama yake na yeye..
We bazazi mzazi sasa.
 
Back
Top Bottom