SHIKAMOO MCHAGA...

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Mchaga aliamua kufungua bustani ya wanyama akafanya kiingilio 10,000/-, hakuna aliyeingia, akashusha 5000/-, pia hakuna aliyeingia, akashusha tena 2000/-, hakuna aliyeingia, akashusha 1000/-, hakuna aliyeingia, akaamua kufanya bureee watu waliingia na walikuwa wengi mno, akafungulia simba mmoja akafanya bei ya kutoka nje ni 20,000/- @

ALIKUSANYAJE HELA!!

# WACHAGA WANAPENDAGA UJINGA UNAFIKIRI#
 
Hah hah hah
 
Kuna bar moja kule mbezi mchaga kawekeza sana lakini haina wateja. Kwa hii threads sithibutu kwenda ile bar tena kwani sijui jamaa atakuwa anatengeneza idea gani kwa kichwa yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatupendi kabisa mjini tumekuja tafuta pesaa[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…