Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,673
- 1,875
We una mashaka na wapi kwani?jikague vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We una mashaka na wapi kwani?jikague vizuri
maeneo yale ambayo ya tigoWe una mashaka na wapi kwani?
Ni tope miguuni tu? Kwingine kukosalama?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38]jikague vizuri
Kama wachawi wote wanafanya hivyo hakana mwenye marinda yake hata moja.maeneo yale ambayo ya tigo
mmmh kasoro mimiKama wachawi wote wanafanya hivyo hakana mwenye marinda yake hata moja.
We ndio ungekuwa wa kuanzia. Ningeazima hiyo teknolojia .......mmmh kasoro mimi
"Ulilala umelewa wewe.. kama kweri basi ulienda bagamoyo mara moja"Nachoweza kusema ni kwamba leo nimepatikana kwani sikuhamini nilipoamka asubuhi huku miguu yangu ikiwa na matope mazito kana kwamba nilikua nalima usiku kucha, sijajua kama wachawi walinilimisha usiku?Kwa kweli nimedata wakuu.
Msaada wenu wakuu