figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #41
Ni kweli Mkuu hao ndio ninao walenga zidi sababu ndio habari ya Mujini. Je watu wanayo yasema ni kweli? miaKwingine kooote umezunguka tu BT hapa mlengwa diamond.!!!yaaan ni sheeeda..tutwaslia wenzako wakija
Wewe naye sijui vipi, Sasa kwanini ulinipiga ban? Namtafuta Angel mie. Mpe hi sana pamoja na dogo. MiaHaha maneno yako yamenifanya nikumiss ghafla ile ban imeisha mier 100..
Miss you
Hahahaaa...Ingekua season Mkasi ingekua ishafika season 100. Kama ni season si wangeaga wakasema tunakuja season tu tusibanduke?. Mkuu mambo vipi lakini? MiaNa je in my shoes wanasema itakuja season II mbona season I imeisha kiajabu ajabu itakujaje season II bila season I kuisha?????
Ney wa mitego ni muongo tu ndio walewale wenye majumba ya 400m kumbe magumashi.
Mkuu hili ni jukwaa la Celebrities, Kama unataka kujua jinsi kutafuta hela nenda Jukwaa La Biashara na Uchumi ulikuja huku ukijua unakuja kupiga hela, Pole sana. Miakiukweli akili yako ndogo rafiki.muda wote.wa kuwafatilia hao ungekuwa umepiga mpunga kiasi gani ama kweli jakaya kazi anayo
Mimi nashindwa kuelewa hivi mtu na akili zake timamu anashindwa kukaa chini atafakari nini hatima ya maisha yake, anakaa chini kuumiza kichwa BMW ya Wema imetoka wapi?????
Mimi nashindwa kuelewa hivi mtu na akili zake timamu anashindwa kukaa chini atafakari nini hatima ya maisha yake, anakaa chini kuumiza kichwa BMW ya Wema imetoka wapi?????
Inashangaza si kidogo..............,
huu muda wanaotumia kuumiza kichwa BMW imetoka wapi wangekua
wamelima Shamba hekari moja wakamaliza
Mkuu hili ni jukwaa la Celebrities, Kama unataka kujua jinsi kutafuta hela nenda Jukwaa La Biashara na Uchumi ulikuja huku ukijua unakuja kupiga hela, Pole sana. Mia
Heaven wewe umeshavuna nini shambani kwako maana naona umemjibu jamaa anayeumiza kichwa kuhusu BMW ya Kadinda.
Mimi nashindwa kuelewa hivi mtu na akili zake timamu anashindwa kukaa chini atafakari nini hatima ya maisha yake, anakaa chini kuumiza kichwa BMW ya Wema imetoka wapi?????
Mkuu hili ni jukwaa la Celebrities, Kama unataka kujua jinsi kutafuta hela nenda Jukwaa La Biashara na Uchumi ulikuja huku ukijua unakuja kupiga hela, Pole sana. Mia
Inashangaza si kidogo..............,
huu muda wanaotumia kuumiza kichwa BMW imetoka wapi wangekua
wamelima Shamba hekari moja wakamaliza
Swali linaweza kukulenga hata wewe sio muanzisha thread......,
ni wengi wanumiza vichwa sio yeye tu..............
Wamuulize rafiki yako na mkewe Cynthia.....kutapanya kote pesa hawana nyumba...ss hivi wanasugua gaga kwa bajaji na lift....mpk kuhamia kino mchezo