feisar wa moro
JF-Expert Member
- Mar 17, 2020
- 365
- 858
- Thread starter
-
- #21
Hapo hachomoki lazima upigwe tu daahh wezi wanatia jazba sanakuna boxer mwenzio, ila yeye ni muhaya. inaonyesha alipendwa na abiria wa kike, ikawa kama wapenzi, maana huyo dada alikuwa akimkumbatia na kujilaza mgongni kwa boxer (bodaboda wa boxer) kila mara wakiwa wote. watu around walijua ni mpenzi wake...
Hapo hachomoki lazima upigwe tu daahh wezi wanatia jazba sana
Mkuu sio siri nimecheka kama Fala😂😂kuna boxer mwenzio, ila yeye ni muhaya. inaonyesha alipendwa na abiria wa kike, ikawa kama wapenzi, maana huyo dada alikuwa akimkumbatia na kujilaza mgongni kwa boxer (bodaboda wa boxer) kila mara wakiwa wote. watu around walijua ni mpenzi wake...
Stori ya kutunga hyo umeiokota youtube usitake kutuokota bwashee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mahali niliiweka kama comment humu humu JF kwenye uzi wa kutapeliwa
Mkuu sio siri nimecheka kama Fala😂😂
Mkuu tukiachana na haya majanga yangu kitu kimoja mkuu jina lako linanifurahisha sana miminimkulimaakachekasana huwa nacheka t kila nikiona id yakoMcheki Mshana Jr ni Mganga wa Jadi atakusaidia
Shahada kabisa..Mjini shule nadhani ushapata cheti chako sasa