Shikamoo zimekuwa nyingi mpaka nahisi utu uzima mbona mapema sana

Shikamoo zimekuwa nyingi mpaka nahisi utu uzima mbona mapema sana

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
Ndugu zangu wana Jamiii hizi shikamoo kutoka kwa vijana wa dogo wa form 4 au wa vets zimekuwa nyingi mpaka nachanganyikiwa .inafika kipindi naitika kwa kuibia ibia mana nahisi kama bado sio mkubwa kivile wa kupewa shikamoo za kila mara.kwahiyo sasa wakuu tunafanye kuepuka hizi shikamoo?

Au tukubali tu kuwa mwendo tushaumaliza?

Au tuanze kuvaa vipensi kujifanya tupo kwenye makuzi?

Au tunyoe viduku ili mtaa utuone watu wa hivyo na tukose heshima?

Ila ngazi tatu sio poa watanzania.

I hate shikamoo
 
😀 jikubali tu mkuu
Sema ila wengine wanapenda sana kuwapa wenzao shikamoo, mwingine utakuta unalingana naye kabisa ila we itikia tu maana ni ishara ya heshima katika jamii
 
[emoji3] jikubali tu mkuu
Sema ila wengine wanapenda sana kuwapa wenzao shikamoo, mwingine utakuta unalingana naye kabisa ila we itikia tu maana ni ishara ya heshima katika jamii
Mualimu wangu wa shule ya msingi aliniomba lift kuenda mjini bila kunitambua alivo ingia ali niamkia shikamo kwasbb nilikua na kitambi tena naendesha mark II, sikuumia ila ningekua sina kitu ningeumia sanaa, shikamo ukiwa masikini inauma mara mbili loh, tafuta pesa mkuu utamind hizo shikamo
 
Mualimu wangu wa shule ya msingi aliniomba lift kuenda mjini bila kunitambua alivo ingia ali niamkia shikamo kwasbb nilikua na kitambi tena naendesha mark II, sikuumia ila ningekua sina kitu ningeumia sanaa, shikamo ukiwa masikini inauma mara mbili loh, tafuta pesa mkuu utamind hizo shikamo
Mwalimu wako alizingua😀😀😀
 
Tatizo sio tu kuamkiwa bali kuna umri ukifika hata kuamkia wengine unaona kama uko nao sawa vile kumbe ni wakubwa zako,,,nipo early 40's nimejaaliwa mvi basi shikamoo kama zote
 
Ndugu zangu wana Jamiii hizi shikamoo kutoka kwa vijana wa dogo wa form 4 au wa vets zimekuwa nyingi mpaka nachanganyikiwa .inafika kipindi naitika kwa kuibia ibia mana nahisi kama bado sio mkubwa kivile wa kupewa shikamoo za kila mara.kwahiyo sasa wakuu tunafanye kuepuka hizi shikamoo...
Kuanzia sasa wakikuamkia tu, wewe waitikie asante..! Hata mimi ephen_ akiniamkia huwa ninamuitikia hivyo hivyo.
 
Kujikubali ndio mpango mzima,,,zipokee tu shikamoo kwa roho safi

 
Sema nishajua kinachokukasirisha, hapo shida sio shikamoo, shida umekuwa mkubwa unapewa shikamoo na bado hujajipata halafu dk za jioni
Ngazi tatu naonekana mkubwa ila bado siamini
Sema nishajua kinachokukasirisha, hapo shida sio shikamoo, shida umekuwa mkubwa unapewa shikamoo na bado hujajipata halafu dk za jioni
Unafikiri mkubwa kihivyo ni basi tu.c rcvfvfvvbbb
 
Back
Top Bottom