je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Ndugu zangu wana Jamiii hizi shikamoo kutoka kwa vijana wa dogo wa form 4 au wa vets zimekuwa nyingi mpaka nachanganyikiwa .inafika kipindi naitika kwa kuibia ibia mana nahisi kama bado sio mkubwa kivile wa kupewa shikamoo za kila mara.kwahiyo sasa wakuu tunafanye kuepuka hizi shikamoo?
Au tukubali tu kuwa mwendo tushaumaliza?
Au tuanze kuvaa vipensi kujifanya tupo kwenye makuzi?
Au tunyoe viduku ili mtaa utuone watu wa hivyo na tukose heshima?
Ila ngazi tatu sio poa watanzania.
I hate shikamoo
Au tukubali tu kuwa mwendo tushaumaliza?
Au tuanze kuvaa vipensi kujifanya tupo kwenye makuzi?
Au tunyoe viduku ili mtaa utuone watu wa hivyo na tukose heshima?
Ila ngazi tatu sio poa watanzania.
I hate shikamoo