Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo ni salamu ya kishamba na ni ishara ya utumwaNdugu zangu wana Jamiii hizi shikamoo kutoka kwa vijana wa dogo wa form 4 au wa vets zimekuwa nyingi mpaka nachanganyikiwa .inafika kipindi naitika kwa kuibia ibia mana nahisi kama bado sio mkubwa kivile wa kupewa shikamoo za kila mara.kwahiyo sasa wakuu tunafanye kuepuka hizi shikamoo?
Au tukubali tu kuwa mwendo tushaumaliza?
Au tuanze kuvaa vipensi kujifanya tupo kwenye makuzi?
Au tunyoe viduku ili mtaa utuone watu wa hivyo na tukose heshima?
Ila ngazi tatu sio poa watanzania.
I hate shikamoo
Wakati ukuta; ukipigana nao utaumia mwenyewe.Au tukubali tu kuwa mwendo tushaumaliza?
I hate shikamoo
pokea shikamoo kwamikono Yako yote wewe nimzee mkuuNgazi ya tatu mzee wangu