Shikamooni Simba SC na hasa hasa Msemaji Haji Manara kwani leo ndiyo nimeamini kuwa kwa Ndumba Simba SC inaongoza nchini

Shikamooni Simba SC na hasa hasa Msemaji Haji Manara kwani leo ndiyo nimeamini kuwa kwa Ndumba Simba SC inaongoza nchini

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nakumbuka katika Press yake ya Siku kama tatu hivi zilizopita Msemaji wa Simba SC Haji Manara alisema huku Watu wakidhani kuwa alikuwa akitania kwamba leo hii kati ya Saa 4 hadi Saa 6 hapo kuna Mvua ( ile ya ki Simba Simba ) itaachiwa kidogo kisha jua litaendelea.

Alichokisema kimetimia kwani muda huo huo karibia maeneo mengi ya Dar Mvua ilinyesha na hata sasa yapo maeneo inanyesha na kwingine kuna Manyunyu.

Akhsante Simba SC na Shikamooni. Kama Nujumu ( Tabiri ) zangu nilizopewa muda si mrefu zikienda sawa leo kuna Mmakonde anazikoga kati ya Goli 4 au 5 ila kuna uwezekano wa Yeye nae ( UD Songo ) akapata Goli 1 na kama Jini likifurahi zaidi basi kuna Kadi Nyekundu ( ya Klabu yoyote ) ila kunaweza pia kukatokea Kifo cha ama Mtu wa karibu na Timu au Mshabiki wakati wa Mapumziko au baada ya Mechi kumalizika.

Nasisitiza leo kuna ama 4 au 5 ila UD Songo nao watapata Goli 1 na hii ni kwa mujibu wa Mtaalam wangu wa Nujumu ( Utabiri ) Kama unabeti ikitokea matokeo yakawa ni tofauti na hapa basi usinilaumu Mimi cleverbright kuwa nimekukosesha Mtonyo ( Pesa ) bali jilaumu Wewe mwenyewe kwa Upumbavu wako wa kwanini humtegemei Mungu na unaamini Ndumba / Uchawi ( Wakongo au Wazairwaa wanaita Kindoki )

Tukutane Taifa japo Mimi sitoenda huko kwakuwa Moja ya Miiko niliyopewa ili Simba SC leo ishinde ni kukaa Nyumbani na Kuusikilizia Mpira kupitia Matangazo ya moja kwa moja ya Redio huku nikiwa nimevalia Vitu Maalum ambayo pengine ningesema niende navyo Uwanjani basi Watu wangenikimbia kwani ni Vitu vya Kutisha hivi kidogo na kama huna Roho ngumu huwezi Kuvibeba. Najihatarisha hivi kwa Mapenzi yangu makubwa niliyonayo kwa Timu yangu pendwa ya Simba SC.
 
Sasa Mkuu na hili linahitaji ramli? Mbona iko wazi hiki ni kipindi kuna mvua za nje ya msimu hasa ukanda wa pwani...sio dar es salaam pekee..binafsi ni Simba damu lakini kuna wakati Haji anawashikia watu akili.
 
Kuna familia moja ya Simba S.C ina triplet "wanazi" wa Simba.
Mmoja anaitwa GENTAMYCIN.
Mwingine ni An Eagle.
Wa tatu anaitwa cleverbright.
Familia hiyo ni noma sana kwani wamefanana kila kitu.
Nakumbuka katika Press yake ya Siku kama tatu hivi zilizopita Msemaji wa Simba SC Haji Manara alisema huku Watu wakidhani kuwa alikuwa akitania kwamba leo hii kati ya Saa 4 hadi Saa 6 hapo kuna Mvua ( ile ya ki Simba Simba ) itaachiwa kidogo kisha jua litaendelea.

Alichokisema kimetimia kwani muda huo huo karibia maeneo mengi ya Dar Mvua ilinyesha na hata sasa yapo maeneo inanyesha na kwingine kuna Manyunyu.

Akhsante Simba SC na Shikamooni. Kama Nujumu ( Tabiri ) zangu nilizopewa muda si mrefu zikienda sawa leo kuna Mmakonde anazikoga kati ya Goli 4 au 5 ila kuna uwezekano wa Yeye nae ( UD Songo ) akapata Goli 1 na kama Jini likifurahi zaidi basi kuna Kadi Nyekundu ( ya Klabu yoyote ) ila kunaweza pia kukatokea Kifo cha ama Mtu wa karibu na Timu au Mshabiki wakati wa Mapumziko au baada ya Mechi kumalizika.

Nasisitiza leo kuna ama 4 au 5 ila UD Songo nao watapata Goli 1 na hii ni kwa mujibu wa Mtaalam wangu wa Nujumu ( Utabiri ) Kama unabeti ikitokea matokeo yakawa ni tofauti na hapa basi usinilaumu Mimi cleverbright kuwa nimekukosesha Mtonyo ( Pesa ) bali jilaumu Wewe mwenyewe kwa Upumbavu wako wa kwanini humtegemei Mungu na unaamini Ndumba / Uchawi ( Wakongo au Wazairwaa wanaita Kindoki )

Tukutane Taifa japo Mimi sitoenda huko kwakuwa Moja ya Miiko niliyopewa ili Simba SC leo ishinde ni kukaa Nyumbani na Kuusikilizia Mpira kupitia Matangazo ya moja kwa moja ya Redio huku nikiwa nimevalia Vitu Maalum ambayo pengine ningesema niende navyo Uwanjani basi Watu wangenikimbia kwani ni Vitu vya Kutisha hivi kidogo na kama huna Roho ngumu huwezi Kuvibeba. Najihatarisha hivi kwa Mapenzi yangu makubwa niliyonayo kwa Timu yangu pendwa ya Simba SC.
 
Nakumbuka katika Press yake ya Siku kama tatu hivi zilizopita Msemaji wa Simba SC Haji Manara alisema huku Watu wakidhani kuwa alikuwa akitania kwamba leo hii kati ya Saa 4 hadi Saa 6 hapo kuna Mvua ( ile ya ki Simba Simba ) itaachiwa kidogo kisha jua litaendelea.

Alichokisema kimetimia kwani muda huo huo karibia maeneo mengi ya Dar Mvua ilinyesha na hata sasa yapo maeneo inanyesha na kwingine kuna Manyunyu.

Akhsante Simba SC na Shikamooni. Kama Nujumu ( Tabiri ) zangu nilizopewa muda si mrefu zikienda sawa leo kuna Mmakonde anazikoga kati ya Goli 4 au 5 ila kuna uwezekano wa Yeye nae ( UD Songo ) akapata Goli 1 na kama Jini likifurahi zaidi basi kuna Kadi Nyekundu ( ya Klabu yoyote ) ila kunaweza pia kukatokea Kifo cha ama Mtu wa karibu na Timu au Mshabiki wakati wa Mapumziko au baada ya Mechi kumalizika.

Nasisitiza leo kuna ama 4 au 5 ila UD Songo nao watapata Goli 1 na hii ni kwa mujibu wa Mtaalam wangu wa Nujumu ( Utabiri ) Kama unabeti ikitokea matokeo yakawa ni tofauti na hapa basi usinilaumu Mimi cleverbright kuwa nimekukosesha Mtonyo ( Pesa ) bali jilaumu Wewe mwenyewe kwa Upumbavu wako wa kwanini humtegemei Mungu na unaamini Ndumba / Uchawi ( Wakongo au Wazairwaa wanaita Kindoki )

Tukutane Taifa japo Mimi sitoenda huko kwakuwa Moja ya Miiko niliyopewa ili Simba SC leo ishinde ni kukaa Nyumbani na Kuusikilizia Mpira kupitia Matangazo ya moja kwa moja ya Redio huku nikiwa nimevalia Vitu Maalum ambayo pengine ningesema niende navyo Uwanjani basi Watu wangenikimbia kwani ni Vitu vya Kutisha hivi kidogo na kama huna Roho ngumu huwezi Kuvibeba. Najihatarisha hivi kwa Mapenzi yangu makubwa niliyonayo kwa Timu yangu pendwa ya Simba SC.

Moderators wasipoangalia JF itapoteza hadhi kabisa kwa kuruhusu threads za aina hii
 
Moderators wasipoangalia JF itapoteza hadhi kabisa kwa kuruhusu threads za aina hii

Hivi Wewe ndiyo ungekuwa Mmiliki wa huu Mtandao wa JamiiForums tungekunywa hata Maji kweli? Mpuuzi mkubwa Wewe. Nimekuita uje uufungue huu Uzi? Kwani threads zingine hujaziona? Bwege Nazi mkubwa Wewe.
 
Hivi Wewe ndiyo ungekuwa Mmiliki wa huu Mtandao wa JamiiForums tungekunywa hata Maji kweli? Mpuuzi mkubwa Wewe. Nimekuita uje uufungue huu Uzi? Kwani threads zingine hujaziona? Bwege Nazi mkubwa Wewe.
Tuliza ovary zako uache kuongea ujinga.
 
Nakumbuka katika Press yake ya Siku kama tatu hivi zilizopita Msemaji wa Simba SC Haji Manara alisema huku Watu wakidhani kuwa alikuwa akitania kwamba leo hii kati ya Saa 4 hadi Saa 6 hapo kuna Mvua ( ile ya ki Simba Simba ) itaachiwa kidogo kisha jua litaendelea.

Alichokisema kimetimia kwani muda huo huo karibia maeneo mengi ya Dar Mvua ilinyesha na hata sasa yapo maeneo inanyesha na kwingine kuna Manyunyu.

Akhsante Simba SC na Shikamooni. Kama Nujumu ( Tabiri ) zangu nilizopewa muda si mrefu zikienda sawa leo kuna Mmakonde anazikoga kati ya Goli 4 au 5 ila kuna uwezekano wa Yeye nae ( UD Songo ) akapata Goli 1 na kama Jini likifurahi zaidi basi kuna Kadi Nyekundu ( ya Klabu yoyote ) ila kunaweza pia kukatokea Kifo cha ama Mtu wa karibu na Timu au Mshabiki wakati wa Mapumziko au baada ya Mechi kumalizika.

Nasisitiza leo kuna ama 4 au 5 ila UD Songo nao watapata Goli 1 na hii ni kwa mujibu wa Mtaalam wangu wa Nujumu ( Utabiri ) Kama unabeti ikitokea matokeo yakawa ni tofauti na hapa basi usinilaumu Mimi cleverbright kuwa nimekukosesha Mtonyo ( Pesa ) bali jilaumu Wewe mwenyewe kwa Upumbavu wako wa kwanini humtegemei Mungu na unaamini Ndumba / Uchawi ( Wakongo au Wazairwaa wanaita Kindoki )

Tukutane Taifa japo Mimi sitoenda huko kwakuwa Moja ya Miiko niliyopewa ili Simba SC leo ishinde ni kukaa Nyumbani na Kuusikilizia Mpira kupitia Matangazo ya moja kwa moja ya Redio huku nikiwa nimevalia Vitu Maalum ambayo pengine ningesema niende navyo Uwanjani basi Watu wangenikimbia kwani ni Vitu vya Kutisha hivi kidogo na kama huna Roho ngumu huwezi Kuvibeba. Najihatarisha hivi kwa Mapenzi yangu makubwa niliyonayo kwa Timu yangu pendwa ya Simba SC.
Hadithi bila picha unatupa shida sie wenye mambo mengi.
 
Hivi nini kazi za afisa habari, afisa uhusiano na msemaji?
Kuna gazeti liliandika Mo kamzuia Manara kuongea jambo lolote la klabu, mara tena nasikia kaitisha press conference.
 
Samahani lakini
20190329_211815.jpeg
 
Nakumbuka katika Press yake ya Siku kama tatu hivi zilizopita Msemaji wa Simba SC Haji Manara alisema huku Watu wakidhani kuwa alikuwa akitania kwamba leo hii kati ya Saa 4 hadi Saa 6 hapo kuna Mvua ( ile ya ki Simba Simba ) itaachiwa kidogo kisha jua litaendelea.

Alichokisema kimetimia kwani muda huo huo karibia maeneo mengi ya Dar Mvua ilinyesha na hata sasa yapo maeneo inanyesha na kwingine kuna Manyunyu.

Akhsante Simba SC na Shikamooni. Kama Nujumu ( Tabiri ) zangu nilizopewa muda si mrefu zikienda sawa leo kuna Mmakonde anazikoga kati ya Goli 4 au 5 ila kuna uwezekano wa Yeye nae ( UD Songo ) akapata Goli 1 na kama Jini likifurahi zaidi basi kuna Kadi Nyekundu ( ya Klabu yoyote ) ila kunaweza pia kukatokea Kifo cha ama Mtu wa karibu na Timu au Mshabiki wakati wa Mapumziko au baada ya Mechi kumalizika.

Nasisitiza leo kuna ama 4 au 5 ila UD Songo nao watapata Goli 1 na hii ni kwa mujibu wa Mtaalam wangu wa Nujumu ( Utabiri ) Kama unabeti ikitokea matokeo yakawa ni tofauti na hapa basi usinilaumu Mimi cleverbright kuwa nimekukosesha Mtonyo ( Pesa ) bali jilaumu Wewe mwenyewe kwa Upumbavu wako wa kwanini humtegemei Mungu na unaamini Ndumba / Uchawi ( Wakongo au Wazairwaa wanaita Kindoki )

Tukutane Taifa japo Mimi sitoenda huko kwakuwa Moja ya Miiko niliyopewa ili Simba SC leo ishinde ni kukaa Nyumbani na Kuusikilizia Mpira kupitia Matangazo ya moja kwa moja ya Redio huku nikiwa nimevalia Vitu Maalum ambayo pengine ningesema niende navyo Uwanjani basi Watu wangenikimbia kwani ni Vitu vya Kutisha hivi kidogo na kama huna Roho ngumu huwezi Kuvibeba. Najihatarisha hivi kwa Mapenzi yangu makubwa niliyonayo kwa Timu yangu pendwa ya Simba SC.
matokeo ngapi ngapi?
 
Back
Top Bottom