Shikamooni Simba SC na hasa hasa Msemaji Haji Manara kwani leo ndiyo nimeamini kuwa kwa Ndumba Simba SC inaongoza nchini

Shikamooni Simba SC na hasa hasa Msemaji Haji Manara kwani leo ndiyo nimeamini kuwa kwa Ndumba Simba SC inaongoza nchini

Nakumbuka katika Press yake ya Siku kama tatu hivi zilizopita Msemaji wa Simba SC Haji Manara alisema huku Watu wakidhani kuwa alikuwa akitania kwamba leo hii kati ya Saa 4 hadi Saa 6 hapo kuna Mvua ( ile ya ki Simba Simba ) itaachiwa kidogo kisha jua litaendelea.
Alichokisema kimetimia kwani muda huo huo karibia maeneo mengi ya Dar Mvua ilinyesha na hata sasa yapo maeneo inanyesha na kwingine kuna Manyunyu.
Akhsante Simba SC na Shikamooni. Kama Nujumu ( Tabiri ) zangu nilizopewa muda si mrefu zikienda sawa leo kuna Mmakonde anazikoga kati ya Goli 4 au 5 ila kuna uwezekano wa Yeye nae ( UD Songo ) akapata Goli 1 na kama Jini likifurahi zaidi basi kuna Kadi Nyekundu ( ya Klabu yoyote ) ila kunaweza pia kukatokea Kifo cha ama Mtu wa karibu na Timu au Mshabiki wakati wa Mapumziko au baada ya Mechi kumalizika.
Nasisitiza leo kuna ama 4 au 5 ila UD Songo nao watapata Goli 1 na hii ni kwa mujibu wa Mtaalam wangu wa Nujumu ( Utabiri ) Kama unabeti ikitokea matokeo yakawa ni tofauti na hapa basi usinilaumu Mimi cleverbright kuwa nimekukosesha Mtonyo ( Pesa ) bali jilaumu Wewe mwenyewe kwa Upumbavu wako wa kwanini humtegemei Mungu na unaamini Ndumba / Uchawi ( Wakongo au Wazairwaa wanaita Kindoki )
Tukutane Taifa japo Mimi sitoenda huko kwakuwa Moja ya Miiko niliyopewa ili Simba SC leo ishinde ni kukaa Nyumbani na Kuusikilizia Mpira kupitia Matangazo ya moja kwa moja ya Redio huku nikiwa nimevalia Vitu Maalum ambayo pengine ningesema niende navyo Uwanjani basi Watu wangenikimbia kwani ni Vitu vya Kutisha hivi kidogo na kama huna Roho ngumu huwezi Kuvibeba. Najihatarisha hivi kwa Mapenzi yangu makubwa niliyonayo kwa Timu yangu pendwa ya Simba SC.
Upo wapi baada ya matokeo na utabiri kanjanja ?
 
Nakumbuka katika Press yake ya Siku kama tatu hivi zilizopita Msemaji wa Simba SC Haji Manara alisema huku Watu wakidhani kuwa alikuwa akitania kwamba leo hii kati ya Saa 4 hadi Saa 6 hapo kuna Mvua ( ile ya ki Simba Simba ) itaachiwa kidogo kisha jua litaendelea.

Alichokisema kimetimia kwani muda huo huo karibia maeneo mengi ya Dar Mvua ilinyesha na hata sasa yapo maeneo inanyesha na kwingine kuna Manyunyu.

Akhsante Simba SC na Shikamooni. Kama Nujumu ( Tabiri ) zangu nilizopewa muda si mrefu zikienda sawa leo kuna Mmakonde anazikoga kati ya Goli 4 au 5 ila kuna uwezekano wa Yeye nae ( UD Songo ) akapata Goli 1 na kama Jini likifurahi zaidi basi kuna Kadi Nyekundu ( ya Klabu yoyote ) ila kunaweza pia kukatokea Kifo cha ama Mtu wa karibu na Timu au Mshabiki wakati wa Mapumziko au baada ya Mechi kumalizika.

Nasisitiza leo kuna ama 4 au 5 ila UD Songo nao watapata Goli 1 na hii ni kwa mujibu wa Mtaalam wangu wa Nujumu ( Utabiri ) Kama unabeti ikitokea matokeo yakawa ni tofauti na hapa basi usinilaumu Mimi cleverbright kuwa nimekukosesha Mtonyo ( Pesa ) bali jilaumu Wewe mwenyewe kwa Upumbavu wako wa kwanini humtegemei Mungu na unaamini Ndumba / Uchawi ( Wakongo au Wazairwaa wanaita Kindoki )

Tukutane Taifa japo Mimi sitoenda huko kwakuwa Moja ya Miiko niliyopewa ili Simba SC leo ishinde ni kukaa Nyumbani na Kuusikilizia Mpira kupitia Matangazo ya moja kwa moja ya Redio huku nikiwa nimevalia Vitu Maalum ambayo pengine ningesema niende navyo Uwanjani basi Watu wangenikimbia kwani ni Vitu vya Kutisha hivi kidogo na kama huna Roho ngumu huwezi Kuvibeba. Najihatarisha hivi kwa Mapenzi yangu makubwa niliyonayo kwa Timu yangu pendwa ya Simba SC.
Dahhh ungeenda tu uwanjani mkuu
 
Nakumbuka katika Press yake ya Siku kama tatu hivi zilizopita Msemaji wa Simba SC Haji Manara alisema huku Watu wakidhani kuwa alikuwa akitania kwamba leo hii kati ya Saa 4 hadi Saa 6 hapo kuna Mvua ( ile ya ki Simba Simba ) itaachiwa kidogo kisha jua litaendelea.

Alichokisema kimetimia kwani muda huo huo karibia maeneo mengi ya Dar Mvua ilinyesha na hata sasa yapo maeneo inanyesha na kwingine kuna Manyunyu.

Akhsante Simba SC na Shikamooni. Kama Nujumu ( Tabiri ) zangu nilizopewa muda si mrefu zikienda sawa leo kuna Mmakonde anazikoga kati ya Goli 4 au 5 ila kuna uwezekano wa Yeye nae ( UD Songo ) akapata Goli 1 na kama Jini likifurahi zaidi basi kuna Kadi Nyekundu ( ya Klabu yoyote ) ila kunaweza pia kukatokea Kifo cha ama Mtu wa karibu na Timu au Mshabiki wakati wa Mapumziko au baada ya Mechi kumalizika.

Nasisitiza leo kuna ama 4 au 5 ila UD Songo nao watapata Goli 1 na hii ni kwa mujibu wa Mtaalam wangu wa Nujumu ( Utabiri ) Kama unabeti ikitokea matokeo yakawa ni tofauti na hapa basi usinilaumu Mimi cleverbright kuwa nimekukosesha Mtonyo ( Pesa ) bali jilaumu Wewe mwenyewe kwa Upumbavu wako wa kwanini humtegemei Mungu na unaamini Ndumba / Uchawi ( Wakongo au Wazairwaa wanaita Kindoki )

Tukutane Taifa japo Mimi sitoenda huko kwakuwa Moja ya Miiko niliyopewa ili Simba SC leo ishinde ni kukaa Nyumbani na Kuusikilizia Mpira kupitia Matangazo ya moja kwa moja ya Redio huku nikiwa nimevalia Vitu Maalum ambayo pengine ningesema niende navyo Uwanjani basi Watu wangenikimbia kwani ni Vitu vya Kutisha hivi kidogo na kama huna Roho ngumu huwezi Kuvibeba. Najihatarisha hivi kwa Mapenzi yangu makubwa niliyonayo kwa Timu yangu pendwa ya Simba SC.
Lawama zote kwa John
 
Upo wapi baada ya matokeo na utabiri kanjanja ?

Kwani hilo Goli lao 1 halijapatikana? Hivi Simba SC imefungwa au imetolewa tu kwa Goli la Ugenini? Ninaposema wana Yanga SC wengi wenu hamna Akili msiwe mnanibishia. Yaani mmevuka tu raundi ya Pili Mwenyekiti wenu Mshindo Msolla amewataka Mashabiki Usiku huu msilale ili Saa 7 na Nusu Yanga SC ikitua pale Terminal Three mkawapokee Wachezaji wenu huku akisema eti ni Mashujaa. Hivi Siku nanyi ikitokea mkamtoa Al Ahly au mkaingia Robo kama Simba SC si Mwenyekiti wenu Msolla atawaambia wana Yanga SC wote mtembee Uchi ( Utupu ) nchi nzima? Yaani Yanga SC ni Washamba hadi mnatia Aibu.
 
Wacha hasira wewe kama kabila Fulani toka kanda Fulani
Kwani hilo Goli lao 1 halijapatikana? Hivi Simba SC imefungwa au imetolewa tu kwa Goli la Ugenini? Ninaposema wana Yanga SC wengi wenu hamna Akili msiwe mnanibishia. Yaani mmevuka tu raundi ya Pili Mwenyekiti wenu Mshindo Msolla amewataka Mashabiki Usiku huu msilale ili Saa 7 na Nusu Yanga SC ikitua pale Terminal Three mkawapokee Wachezaji wenu huku akisema eti ni Mashujaa. Hivi Siku nanyi ikitokea mkamtoa Al Ahly au mkaingia Robo kama Simba SC si Mwenyekiti wenu Msolla atawaambia wana Yanga SC wote mtembee Uchi ( Utupu ) nchi nzima? Yaani Yanga SC ni Washamba hadi mnatia Aibu.
 
Una hasira wewe...simba njee!!!
Kwani hilo Goli lao 1 halijapatikana? Hivi Simba SC imefungwa au imetolewa tu kwa Goli la Ugenini? Ninaposema wana Yanga SC wengi wenu hamna Akili msiwe mnanibishia. Yaani mmevuka tu raundi ya Pili Mwenyekiti wenu Mshindo Msolla amewataka Mashabiki Usiku huu msilale ili Saa 7 na Nusu Yanga SC ikitua pale Terminal Three mkawapokee Wachezaji wenu huku akisema eti ni Mashujaa. Hivi Siku nanyi ikitokea mkamtoa Al Ahly au mkaingia Robo kama Simba SC si Mwenyekiti wenu Msolla atawaambia wana Yanga SC wote mtembee Uchi ( Utupu ) nchi nzima? Yaani Yanga SC ni Washamba hadi mnatia Aibu.
 
Nimekuelewa!
Kuna familia moja ya Simba S.C ina triplet "wanazi" wa Simba.
Mmoja anaitwa GENTAMYCIN.
Mwingine ni An Eagle.
Wa tatu anaitwa cleverbright.
Familia hiyo ni noma sana kwani wamefanana kila kitu.
 
Back
Top Bottom