STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Wanawake wana katabia kamoja kananiacha Hoi
sana, akitaka kukuacha wala hatumii sababu
kuubwaaa....Anaweza kukufumania red-handed na
Mwanamke halafu wakaangua kilio, Akaumwa
Wiki, Akapata Ulcers, halafu baada ya Mwezi eti
anakusamehe, halafu yule mfumanizi wake eti wanakuwa Friends, balaa gani hili...
Kidume
kikikusamehe call yourself a Magical Lady...Ukiepuka
makofi na ngumi shukuru!
LAKINI sasa, lile kosa
kuuubwaaaaaa amesamehe, utashangaa sababu
atakayoitumia kukuacha sasa..Utabakia mdomo wazi
miaka 8.. Mwanaume gani unanuka mdomo....Unanuka miguu...Huvai Vesti...una Kikwapa kikali...You are not
romantic kabisa...Hujui Maandalizi na Romace...
SERIOUSLY?
Yaani hapo ndo Bai-Bai,utahangaika kuomba
akurudie wewe mpaka Magufuli ahamie
Chadema, harudi Ng'oo..Sasa unajiuliza,
ule M-kosa mkuubwaa alirudi wiki 3, nanuka Kikwapa ndo ntolee???
Shkamooni wanawake...
sana, akitaka kukuacha wala hatumii sababu
kuubwaaa....Anaweza kukufumania red-handed na
Mwanamke halafu wakaangua kilio, Akaumwa
Wiki, Akapata Ulcers, halafu baada ya Mwezi eti
anakusamehe, halafu yule mfumanizi wake eti wanakuwa Friends, balaa gani hili...
Kidume
kikikusamehe call yourself a Magical Lady...Ukiepuka
makofi na ngumi shukuru!
LAKINI sasa, lile kosa
kuuubwaaaaaa amesamehe, utashangaa sababu
atakayoitumia kukuacha sasa..Utabakia mdomo wazi
miaka 8.. Mwanaume gani unanuka mdomo....Unanuka miguu...Huvai Vesti...una Kikwapa kikali...You are not
romantic kabisa...Hujui Maandalizi na Romace...
SERIOUSLY?
Yaani hapo ndo Bai-Bai,utahangaika kuomba
akurudie wewe mpaka Magufuli ahamie
Chadema, harudi Ng'oo..Sasa unajiuliza,
ule M-kosa mkuubwaa alirudi wiki 3, nanuka Kikwapa ndo ntolee???
Shkamooni wanawake...