cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,805
saizi mkulu ataacha kupiga simu , tune xxxl usikie wanavyo komaa na bashite issue vyeti nk wameamua kumwaga mbogasidhani hata kama President na yeye anawapenda tena ,walimkwamisha Bashite katika harakati zake za kuleta maendeleo jijini Dar es salaam
acha kabisaOhoooo!!!vijana ubuyu umewatokea puani.
saizi wanaogopa maswali coz hii issue itaenda mbali sanaInatakiwa wajitokeze waseme ukweli kwa nn alikuja kuchukua ile video na kwa nn alazimishe kuchukua inshu ile
Hakuna lolote, walitaka kumwaminisha rais wametendewa mabaya, ivo rais amtumbue.Leo katika kipindi cha XXL segment ya "you heard" Hakukuwa na uwepo wa Kiongozi wa Shilawadu Sood Brown
Inasemekana wamepewa Likizo wote yeye na Kwisa baada ya sakata hili la Makondakta
Poleni sana vijana kwa issue iliyo watokea
hii issue itamzingua sana Daudi saizi clouds ndio watabeba issue ya bashite zaidi ya EFMHakuna lolote, walitaka kumwaminisha rais wametendewa mabaya, ivo rais amtumbue.
Kwahiyo wewe unatuaminisha wametendewa vizuri?Hakuna lolote, walitaka kumwaminisha rais wametendewa mabaya, ivo rais amtumbue.
Aende tangazia bastard corporation (tbc)naskia song ya snitch hapa
bashite hatakanyaga tena clouds
Wameeleza vizuri leo asubuhiInatakiwa wajitokeze waseme ukweli kwa nn alikuja kuchukua ile video na kwa nn alazimishe kuchukua inshu ile
ha ha ha ha ha ha haAende tangazia bastard corporation (tbc)
Ruge kasema hakuna aliyepigwa mitama wala kitako cha bunduki.Kwahiyo wewe unatuaminisha wametendewa vizuri?
Wewe ni maiti kabisa.
Sio kila kitu ni cha kusema hadharani kama ulimsikiliza ruge vizuri utaelewa kwamba kama kuna vitu anaficha na kutofafanua vizuri baadhi ya maswaliRuge kasema hakuna aliyepigwa mitama wala kitako cha bunduki.
Ila jana tuliaminishwa ivo, na nilitaka iwekwe video, mpaka leo hakuna video.
Sio kila kitu ni cha kusema hadharani kama ulimsikiliza ruge vizuri utaelewa kwamba kama kuna vitu anaficha na kutofafanua vizuri baadhi ya maswali