dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Hahahahahha mkuu umetishasidhani hata kama President na yeye anawapenda tena ,walimkwamisha Bashite katika harakati zake za kuleta maendeleo jijini Dar es salaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahha mkuu umetishasidhani hata kama President na yeye anawapenda tena ,walimkwamisha Bashite katika harakati zake za kuleta maendeleo jijini Dar es salaam
Ndo inavyotakiwa sio kila kitu ni cha kusema hadharaniHata Gwajima kuna vitu alivificha kuwahusu hao clouds na aliwapa siku 3 wamsafishe.
Sasa hivi simu zetu tutakuwa tunapiga TbC 1 na TbC F emsidhani hata kama President na yeye anawapenda tena ,walimkwamisha Bashite katika harakati zake za kuleta maendeleo jijini Dar es salaam
Kwa iyo isionekane makonda pekee anamakosa wakati hakuna mtu mkamilifu.Ndo inavyotakiwa sio kila kitu ni cha kusema hadharani
Kuna makosa ya kibanaadamu na makusudi makonda anafanya makusudi ili kuwakomoa watu fulani ndo tofauti ndo maana watu wanataka ang'oke amezidi jeuri yule bashiteKwa iyo isionekane makonda pekee anamakosa wakati hakuna mtu mkamilifu.
Huenda ndio alikuwa amegharimia maandalizi yake, halafu wakamgeuka.Inatakiwa wajitokeze waseme ukweli kwa nn alikuja kuchukua ile video na kwa nn alazimishe kuchukua inshu ile
Ruge kasema hakuna aliyepigwa mitama wala kitako cha bunduki.
Ila jana tuliaminishwa ivo, na nilitaka iwekwe video, mpaka leo hakuna video.
Kwa iyo Gwaji ni mtakatifu?Kuna makosa ya kibanaadamu na makusudi makonda anafanya makusudi ili kuwakomoa watu fulani ndo tofauti ndo maana watu wanataka ang'oke amezidi jeuri yule bashite
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aende tangazia bastard corporation (tbc)
U nachanganyikiwa mada mkuu ya gwajima yote makonda ndo kayasababishaKwa iyo Gwaji ni mtakatifu?
Mi nitakubaliana na wewe iwapo Gwajima ataweka mabaya ya clouds kama alivyohaidi iwapo wasingemsafisha.hata kama hawajapigwa mkuu...tukiwa na sane minds..wote tukubaliane tu kitendo kilichofanya na makonda hakikuwa cha kimaadili
Tukubaliane hakuna liyemtakatifu,.U nachanganyikiwa mada mkuu ya gwajima yote makonda ndo kayasababisha
Mi nitakubaliana na wewe iwapo Gwajima ataweka mabaya ya clouds kama alivyohaidi iwapo wasingemsafisha.
Hata machinga wanapobomolewa vibanda vyao, wakuu wa wilaya huwa na wanajeshi na polisi wamemzunguka.clouds wameshamsafisha sana kwa kuongea ukweli wa tukio lile. Kwamba clouds wana mabaya hakufanyi mtu kutumia majeshi yetu kwa mambo yake binafsi.
Hili suala msilichukulie kirahisi sana
Na sio kwa sababu magufuli amemlinda makonda basi ni jambo sahihi hilo
Hili ni suala linalopaswa kukemewa duniani kote..Just Imagine kila mkuu wa mkoa na wilaya aanze kutumia majeshi yetu vile...Tutaenda wapi
And who knows...Just imagine next day atakuja nyumbani kwako na wanajeshi wote wale
Tuwe wakweli....na ukweli utatuweka huru
sio kusemekana, Ruge kaongea asubuhi leo, vijana wamekuwa kama nati zimefyatukaLeo katika kipindi cha XXL segment ya "you heard" Hakukuwa na uwepo wa Kiongozi wa Shilawadu Sood Brown
Inasemekana wamepewa Likizo wote yeye na Kwisa baada ya sakata hili la Makondakta
Poleni sana vijana kwa issue iliyo watokea
Hata machinga wanapobomolewa vibanda vyao, wakuu wa wilaya huwa na wanajeshi na polisi wamemzunguka.
Sasa kwa usiku ule ulitegemea angeenda peke yake?
Afu ishu ya ku-balance habari sio kweli, kwani kuna kipindi huwa wanarusha afu wanasema mhusika wa pili simu yake ilikua haipatikani.
ha ha ha ha ha ha ha ha sipatii picha kwisa jinsi anavyoonekana muogasio kusemekana, Ruge kaongea asubuhi leo, vijana wamekuwa kama nati zimefyatuka
Mtakatifu dunia hii? Labda Mautingo na baba J.Kwa iyo Gwaji ni mtakatifu?
Kama hana mamlaka aliwezaje kuingia ofisini.? Wewe unaweza kuvamia ofisi ya clouds huku unasindikizwa na wanajeshi?Kwa hiyo kwa sababu clouds walikataa kuirusha hiyo habari...Na kumbuka ni kituo binafsi kile
Je Makonda alipata wapi mamlaka ya kwenda kuingia ofisini kwa watu kwa nguvu na kutoa unnecessary demands kwa watangazaji?
[emoji3] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji3]Aende tangazia bastard corporation (tbc)