ivanmark714
Member
- Jul 13, 2019
- 67
- 110
Habari,
Wana JF mimi sina utaalamu wa uwandishi hivyo tuvumiliane kwa wale wakosoaji wa uwandishi.
Twende kwenye lengo, hivi karibuni kumezuka mia 500 fake nyingi sana mtaani, ambapo mwisho leo usiku huu nimekutana nayo na nikathibisha madai haya niliyowahi kusikia kabla.
Utaijuaje ni fake? Ni nyepesi mno, inang'aa sana, ni kubwa kwa umbo ukilinganisha na pesa halali, zile tarakimu 500 hazibadiliki kwa ndani kuja neno B.O.T.
Hivyo Serikali kupitia B.O.T na mamlaka zake nyengine waliangalie hili, na wananchi tuzidishe umakini katika hili.
NB: Naomba radhi kwa uwandishi mbovu lakini ujumbe umefika.
Wana JF mimi sina utaalamu wa uwandishi hivyo tuvumiliane kwa wale wakosoaji wa uwandishi.
Twende kwenye lengo, hivi karibuni kumezuka mia 500 fake nyingi sana mtaani, ambapo mwisho leo usiku huu nimekutana nayo na nikathibisha madai haya niliyowahi kusikia kabla.
Utaijuaje ni fake? Ni nyepesi mno, inang'aa sana, ni kubwa kwa umbo ukilinganisha na pesa halali, zile tarakimu 500 hazibadiliki kwa ndani kuja neno B.O.T.
Hivyo Serikali kupitia B.O.T na mamlaka zake nyengine waliangalie hili, na wananchi tuzidishe umakini katika hili.
NB: Naomba radhi kwa uwandishi mbovu lakini ujumbe umefika.