Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kabisa manengelo lakini pale magogoni kuna mtu HAAMBILIKI kwa sababu yeye anajua kila kitu sasa kutokana na dhana yake hiyo potofu kaiingiza nchi kwenye mkenge kwa ukurupukaji wake na pia kuchota trillions hazina tena bila idhini ya Bunge.
Kabiisa aisee halafu cha kushangaza zaidi bado kuna watu wanamsujudia na kumuunga mkono pamoja na madudu yake chungu nzima kila kona.
Hata Zimbabwe yalianza hivi hivi bado kuna wale wanufaika waliendelea kum support Mugabe, siku moja waliamua liwalo na liwe. Sisi Tanzania itatuchukua muda gani kujielewa na kusema basi inatosha kwa ujinga huu wa ccm?! Hawa ccm wana recycle wajinga mpaka wanaisha wataanza tena, sisi tunaangalia tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima mauti yatakuwepo tunahitaji kuondoa ujinga huu.hapo ndo penye tatizo..woga na hofu juu
Mkuu Lyamber Umewaza Kama Mimi aisee hawa Wendawazimu Hawakawii Kutuambia Dollar imepanda kwa sababu ya Ziara za Our Incoming President Mr. TUNDU LISSU.Pumzi imeshakata jamaa hawana Dola za kutosha huko kwenye reserve ila wasivyo na aibu wanaweza kusema Dola imepanda sababu ya ziara za Tundu Lissu ughaibuni au fedha nyingi zimetolewa nje sababu ya kulipa mishahara ya TL kipindi hayupo bungeni
Source yenyewe ni profesa Ngowi..kwi kwi kwi
Kurudisha katika hali ya kawaida itakuwa balaa zaidiNaomba ifikie hyper inflation ili hata polisi wa kusimamia uchaguzi waone umuhimu wa kulinda masanduku ndani ya vituo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atawaumbua mchana kweupeMkuu Lyamber Umewaza Kama Mimi aisee hawa Wendawazimu Hawakawii Kutuambia Dollar imepanda kwa sababu ya Ziara za Our Incoming President Mr. TUNDU LISSU.
Sent using Jamii Forums mobile app