Shilingi hiyooooo yaporomoka

Shilingi hiyooooo yaporomoka

Kuna tatizo kubwa kuliko Korosho, hatuwezi kuwa nchi tegemezi la korosho na kama ni kweli basi ni aibu kubwa sana. maana nikisia majigambo ya wanasiasa sisi ni donor country halafu kumbe ni Korosho tu!! mimi nadhani sababu kubwa labda sina uhakika, hakuna tena direct investments na hata kilichopo ndani watu wanakitoa nje kwa hofu kwa maana watu na change Tsh kwa wingi kuhifadhi $ maana mwenye Tsh anogopa pesa yake inapoteza thamani na hii ikianza panic mode tu very soon utaambiwa hawauzi $ ila wananunua tu ujue hali ni mbaya na kurudisha imani ni process ndefu sana. Kuna sehemu Gov wamevuta kulipia miradi mikubwa BOT hawana uwezo tena control soko. Hii mambo ya kujisifia tumenunua kwa pesa zetu cash, mradi pesa yetu sasa unajiuliza cash hii ya $ imetoka wapi ya kufunds hizi projects. kwa maana nyepesi unatumia pesa kuliko uwezo wako na hata kitabu cha Mangi kimejaa madeni unahama duka lakini huko nako unajaza kitabu jirani hana uwezo nayeye au unawamaliza na majirani inabaki sasa ukubali matokeo. Jamani siasa pembeni lazima uchumi uachwe huru ili wafanya biashara wapate faida, walipe kodi, faida wawekeze tena, wa nje wavutiwe kuinvest sio kinyume cha hapo. kwa ufupi hakuna cha korosho wala nini ni siasa mbovu za uchumi ni time tukapiga break na kujithamini. Unatumia pesa nyingi kuliku uwezo wako halafu utegemee same results lazima utakuwa kwenye shida.
Fact
.. Sema yule kiumbe ni mbishi sana.. Hawezi kubali kama amekosea yani ni mbishi kawa muha vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hali ni mwiba kwa wote isipokuwa wachache tu ambao wanapata huduma zote bure kutokana na nyadhifa zao.

Inatia hasira sana kuona kama taifa hatufanyi vizuri na mbaya zaidi tunazidi kumeguka vipande vipande kutokana kuhuburi chuki kati yetu wenyewe.

Inafika mahali namuonea Mh. Rais huruma sana...lawama ni nyingi kuliko pongezi...aliingia akiwa kijana-mzee sasa sura yake sio ile ya kampeni. Tumsilaumu yeye tu, Urais ni taasisi, na kama ni taasisi kuna watu wengi wa kulaumiwa. Siogopi kusema kuwa Rais amezungukwa na wstu waoga kusimamia majukumu na wajibu wao kama mwongozo wa kazi zao unavyosema. Wamebaki kusifu hata kisichopaswa kuwekwa hadharani kwa umma.

Tumsamehe na kumhurumia Rais wetu bureee...

[emoji35][emoji34][emoji2955][emoji2955][emoji34][emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu katika hali ya namna hiyo unaona watu wako CALM basis ujue kuna tatizo kubwa sana
 
Hii hali ni mwiba kwa wote isipokuwa wachache tu ambao wanapata huduma zote bure kutokana na nyadhifa zao.

Inatia hasira sana kuona kama taifa hatufanyi vizuri na mbaya zaidi tunazidi kumeguka vipande vipande kutokana kuhuburi chuki kati yetu wenyewe.

Inafika mahali namuonea Mh. Rais huruma sana...lawama ni nyingi kuliko pongezi...aliingia akiwa kijana-mzee sasa sura yake sio ile ya kampeni. Tumsilaumu yeye tu, Urais ni taasisi, na kama ni taasisi kuna watu wengi wa kulaumiwa. Siogopi kusema kuwa Rais amezungukwa na wstu waoga kusimamia majukumu na wajibu wao kama mwongozo wa kazi zao unavyosema. Wamebaki kusifu hata kisichopaswa kuwekwa hadharani kwa umma.

Tumsamehe na kumhurumia Rais wetu bureee...

[emoji35][emoji34][emoji2955][emoji2955][emoji34][emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hakubali ushauri wa wataalamu? wewe imagine hamna sector au wizara moja amafanikisha kwa wastani anaendelea kuharibu tu vya wezake......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzoni walitwambia mporomoko huu ni kwa sababu eti huu sio msimu wa watalii kuja. Sasa hivi wanasema ni kwa sababu ya “decrease in export volumes of cashew nuts”, hizo korosho alizozibeba Magufuli na kuzifungia kwenye karakana za Jeshi. Acha tuvune walichopanda hawa wakoloni weusi
 
Closely monitor falling of shilling, experts caution

Saturday February 23 2019





SHs+pic.jpg


In Summary
  • Tanzanians will now have to dig deeper into their pockets to pay for imports and finance the national debt as the value of the national currency keeps depreciating against the US dollar.
Advertisement

By Alex Malanga @ChiefMalanga amalanga@tz.nationmedia.com

Dar es Salaam. Tanzanians will now have to dig deeper into their pockets to pay for imports and finance the national debt. This is basically on account of the relentlessly depreciating value of the national currency, the shilling against the United States dollar.

A random survey of some bureaux de change in the nation’s commercial capital Dar es Salaam yesterday established that the dollar was sold at up to Sh2,415. This is the lowest level to which the local currency has declined in the last three years and seven months.

In the same vein, commercial banks sold one dollar at Sh2,436, up from Sh2,298 at the end of last week.

Impact
Prof Honest Ngowi of Mzumbe University’s Economics Department told The Citizen that importation costs would escalate.
Almost inevitably, he said, businesses would transfer the extra costs onto consumers by increasing prices as a matter of course.
“Depreciation of the shilling can distract the implementation of individual, organisational and government budgets,” Prof Ngowi warned, adding that “confidence in the shilling would fall. This is bad for the country.”
He also said that the cost of financing the national debt would go up, even without having borrowed more.
This would adversely affect the implementation of development projects in such crucial sectors as Health, Education and Infrastructure.

Dr Charles Sokile is the managing director of Oxford Policy Management (OPM) in Tanzania, a research institution. He said that, if the currency depreciation is not effectively addressed, it would also increase domestic production costs, as manufactures would have to import raw materials at higher prices.

“Eventually, the consumer will suffer the consequences. Locally produced goods would become uncompetitive at the marketplace,” he warned.

These sentiments were echoed by a reputable business consultant and economist, Dr Donath Olomi, who said that, without stability in exchange rates, businesses would suffer.
Why the depreciation?

Prof Ngowi attributed the trend partly to a decrease in export volumes of cashew nuts, as a result of a delay in the commencement of exports.
Earnings from cashew nut exports decreased by 62.9 per cent during the year that ended on December 31, 2018, compared to the same period a year before – falling to $196.5 million (Sh472 billion).

Prof Ngowi also linked the depreciation with the recent crackdown by the Bank of Tanzania (BoT) on bureaux de change, which saw to a decrease in supply of the greenback.

For his part, Dr Sokile attributed the drop in value of the shilling to massive infrastructural development projects like the Standard Gauge Railway and Stiegler’s Gorge hydropower station, whose implementation require the use of dollars.

He also said that strengthening the business environment during the past two years – which saw to the closure of some businesses – had a hand in the depreciation of the national currency.
The drop is also partly attributable to the decline in foreign direct investments (FDIs) for the third year running.

According to the United Nations Conference on Trade and Development (Unctad), FDI flows to Tanzania dipped by 24.4 per cent in 2017, to $1.18 billion (Sh2.8 trillion), compared with the 2015 level.

Solution
Prof Ngowi called for more exports in terms of volume and quality, to earn more foreign exchange.
To that end, he suggested creation of a friendly environment that would attract more tourist dollars.
Calling for modest remittance costs to encourage more Tanzanians in diaspora to send money to their motherland,
Prof Ngowi also suggested improving relations with donor countries and other development partners.
Dr Sokile was of the view that the government should closely monitor the situation to enable it decide whether or not intervention by releasing more dollars to stabilise the shilling would be the best option. He also urged the government, working through the Tanzania Trade Development Authority (Tantrade) to encourage more exportation.
For his part, Dr Olom, stressed that the government should create a business-friendly climate by removing obstacles, thus spurring both local and foreign investments.

In late January this year, BoT said the shilling was not in a crisis, explaining that the current movement in the exchange rate was a seasonal phenomenon related to low foreign exchange earnings from tourism and crop exports.
“This is a common trend that usually normalizes in the second half of the year when earnings from tourism and exports pick-up,” reads the central bank’s statement in part.
Tutatumia jeshi la wananchi kuipandisha hiyo shilingi ndani ya siku 2
 
Pumzi imeshakata jamaa hawana Dola za kutosha huko kwenye reserve ila wasivyo na aibu wanaweza kusema Dola imepanda sababu ya ziara za Tundu Lissu ughaibuni au fedha nyingi zimetolewa nje sababu ya kulipa mishahara ya TL kipindi hayupo bungeni
Polepole
Bashiru
Msiba
Hao wote majibu yao ni ya aina hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Closely monitor falling of shilling, experts caution

Saturday February 23 2019





SHs+pic.jpg


In Summary
  • Tanzanians will now have to dig deeper into their pockets to pay for imports and finance the national debt as the value of the national currency keeps depreciating against the US dollar.
Advertisement

By Alex Malanga @ChiefMalanga amalanga@tz.nationmedia.com

Dar es Salaam. Tanzanians will now have to dig deeper into their pockets to pay for imports and finance the national debt. This is basically on account of the relentlessly depreciating value of the national currency, the shilling against the United States dollar.

A random survey of some bureaux de change in the nation’s commercial capital Dar es Salaam yesterday established that the dollar was sold at up to Sh2,415. This is the lowest level to which the local currency has declined in the last three years and seven months.

In the same vein, commercial banks sold one dollar at Sh2,436, up from Sh2,298 at the end of last week.

Impact
Prof Honest Ngowi of Mzumbe University’s Economics Department told The Citizen that importation costs would escalate.
Almost inevitably, he said, businesses would transfer the extra costs onto consumers by increasing prices as a matter of course.
“Depreciation of the shilling can distract the implementation of individual, organisational and government budgets,” Prof Ngowi warned, adding that “confidence in the shilling would fall. This is bad for the country.”
He also said that the cost of financing the national debt would go up, even without having borrowed more.
This would adversely affect the implementation of development projects in such crucial sectors as Health, Education and Infrastructure.

Dr Charles Sokile is the managing director of Oxford Policy Management (OPM) in Tanzania, a research institution. He said that, if the currency depreciation is not effectively addressed, it would also increase domestic production costs, as manufactures would have to import raw materials at higher prices.

“Eventually, the consumer will suffer the consequences. Locally produced goods would become uncompetitive at the marketplace,” he warned.

These sentiments were echoed by a reputable business consultant and economist, Dr Donath Olomi, who said that, without stability in exchange rates, businesses would suffer.
Why the depreciation?

Prof Ngowi attributed the trend partly to a decrease in export volumes of cashew nuts, as a result of a delay in the commencement of exports.
Earnings from cashew nut exports decreased by 62.9 per cent during the year that ended on December 31, 2018, compared to the same period a year before – falling to $196.5 million (Sh472 billion).

Prof Ngowi also linked the depreciation with the recent crackdown by the Bank of Tanzania (BoT) on bureaux de change, which saw to a decrease in supply of the greenback.

For his part, Dr Sokile attributed the drop in value of the shilling to massive infrastructural development projects like the Standard Gauge Railway and Stiegler’s Gorge hydropower station, whose implementation require the use of dollars.

He also said that strengthening the business environment during the past two years – which saw to the closure of some businesses – had a hand in the depreciation of the national currency.
The drop is also partly attributable to the decline in foreign direct investments (FDIs) for the third year running.

According to the United Nations Conference on Trade and Development (Unctad), FDI flows to Tanzania dipped by 24.4 per cent in 2017, to $1.18 billion (Sh2.8 trillion), compared with the 2015 level.

Solution
Prof Ngowi called for more exports in terms of volume and quality, to earn more foreign exchange.
To that end, he suggested creation of a friendly environment that would attract more tourist dollars.
Calling for modest remittance costs to encourage more Tanzanians in diaspora to send money to their motherland,
Prof Ngowi also suggested improving relations with donor countries and other development partners.
Dr Sokile was of the view that the government should closely monitor the situation to enable it decide whether or not intervention by releasing more dollars to stabilise the shilling would be the best option. He also urged the government, working through the Tanzania Trade Development Authority (Tantrade) to encourage more exportation.
For his part, Dr Olom, stressed that the government should create a business-friendly climate by removing obstacles, thus spurring both local and foreign investments.

In late January this year, BoT said the shilling was not in a crisis, explaining that the current movement in the exchange rate was a seasonal phenomenon related to low foreign exchange earnings from tourism and crop exports.
“This is a common trend that usually normalizes in the second half of the year when earnings from tourism and exports pick-up,” reads the central bank’s statement in part.
Kwa hiyo title tu, naona ulifanya sherehe kubwa na kuanza kuandika huu uzi hukubunapiga vigeregere
 
Prof Ngowi also linked the depreciation with the recent crackdown by the Bank of Tanzania (BoT) on bureaux de change, which saw to a decrease in supply of the greenback.
One the most important statement I noted there, why did they savagely crack them down?
 
A huge DISGRACE to our beloved Country.
Huwezi kuelewa kama tayari katika fikra zako huna mtazamo chanya katika Serikali ya awamu ya tano.Watu wengi mmekuwa Wanaharakati na mna chuki za kutisha mioyoni mwenu.Ukitaka kujua kwa nini Shilingi inashuka kwa kasi dhidi ya Dola inabidi uangalie suala husika kwa mtazamo wa kiuchumi na Biashara na sio Kisiasa za Uanaharakati. Tufanye kazi tujenge TAIFA letu pendwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A huge DISGRACE to our beloved Country.
Pombe ilisema inapigana vita ya kiuchumi. Sijui yenyewe ndio ilianzisha hiyo vita au vita ndio ilianzisha uchumi wa mwendokasi?

Uchumi wa Tanzania unakuwa kwa asiliamia 7.1 kwenye makaratasi tu. Huku kitaa ni kuishi kama mashetani.

Tunaelekea kwenye uchumi wa kuuza vitambulisho. Mimi nili-beep tu.
 
Tatizo tunajenga uchumi kwa jazba, bado nakumbuka yule jamaa alivyosema kuwa korosho zitabanguliwa na JKT kwa meno. Sijui kwa nini ccm hawataki kumshauri rais au wanafanya makusudi ili aanguke.
 
Pumzi imeshakata jamaa hawana Dola za kutosha huko kwenye reserve ila wasivyo na aibu wanaweza kusema Dola imepanda sababu ya ziara za Tundu Lissu ughaibuni au fedha nyingi zimetolewa nje sababu ya kulipa mishahara ya TL kipindi hayupo bungeni
Tumekuwa tunawambia tunahitaji uchumi jumuishi wameweka pamba masikioni ''Welfare economy''
 
Back
Top Bottom