Shilingi hiyooooo yaporomoka

Shilingi hiyooooo yaporomoka

Hili likitokea kutakuwa na vilio vya kusaga meno kwani bidhaa muhimu hazitashikika kwa bei kubwa.
Kwa sera hizi, mikurupuko hii, u much know wa sasa, lazima tufike huko. Labda itasaidia kuamsha watu wengi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tatizo Mzee baba alidhani kuongoza inchi ni kutesa wapinzani
 
Hivi huyu jiwe ni unskilled and illiterate Mbona kila anachofanya hafanikiwi .
Our dear leader is a PhD educated and he knows what he is doing.
Uchumi wa nchi yetu unaendelea kuimarika siku hadi siku, na maisha ya watanzania wanyonge yanazidi kuimarika na kuwa bora zaidi. I am very proud of stigglers gorge, reli ya standard geji na mabasi ya mwendokasi, na super highway ya njia 12 mpaka chalinze.
Tembeeni vifua mbele because we are on the right track to becoming a donor country.
Wapiga dili awamu hii imekula kwenu 😛
 
One the most important statement I noted there, why did they savagely crack them down?
I really don’t know! All I know is the negative impact or the consequences of the decision.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Our dear leader is a PhD educated and he knows what he is doing.
Uchumi wa nchi yetu unaendelea kuimarika siku hadi siku, na maisha ya watanzania wanyonge yanazidi kuimarika na kuwa bora zaidi. I am very proud of stigglers gorge, reli ya standard geji na mabasi ya mwendokasi, na super highway ya njia 12 mpaka chalinze.
Tembeeni vifua mbele because we are on the right track to becoming a donor country.
Wapiga dili awamu hii imekula kwenu 😛
Mhn! Kaazi kweli kweli!
 
Shortsighted regime, don't they have people in their circle who are at least capable of anticipating the aftermath of those types of imbecile moves?
I really don’t know! All I know is the negative impact or the consequences of the decision.
 
Shortsighted regime, don't they have people in their circle who are at least capable of anticipating the reparations of those types of imbecile moves?
A good and a valid question!
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Current movement in the exchange rate was a seasonal phenomenon"...... hiyo seasonal trend imeanza katika awamu ya Tano mbona in the past it was not to this extend, jana elikua 2415 leo ni 2425 it's not normal my friend, hatuko vitani dollar kupanda kwa kiasi hicho.
tusubiri kidogo low season ya utalii yaja (April&may) wote tutanena
 
Closely monitor falling of shilling, experts caution

Saturday February 23 2019





SHs+pic.jpg


In Summary
  • Tanzanians will now have to dig deeper into their pockets to pay for imports and finance the national debt as the value of the national currency keeps depreciating against the US dollar.
Advertisement

By Alex Malanga @ChiefMalanga amalanga@tz.nationmedia.com

Dar es Salaam. Tanzanians will now have to dig deeper into their pockets to pay for imports and finance the national debt. This is basically on account of the relentlessly depreciating value of the national currency, the shilling against the United States dollar.

A random survey of some bureaux de change in the nation’s commercial capital Dar es Salaam yesterday established that the dollar was sold at up to Sh2,415. This is the lowest level to which the local currency has declined in the last three years and seven months.

In the same vein, commercial banks sold one dollar at Sh2,436, up from Sh2,298 at the end of last week.

Impact
Prof Honest Ngowi of Mzumbe University’s Economics Department told The Citizen that importation costs would escalate.
Almost inevitably, he said, businesses would transfer the extra costs onto consumers by increasing prices as a matter of course.
“Depreciation of the shilling can distract the implementation of individual, organisational and government budgets,” Prof Ngowi warned, adding that “confidence in the shilling would fall. This is bad for the country.”
He also said that the cost of financing the national debt would go up, even without having borrowed more.
This would adversely affect the implementation of development projects in such crucial sectors as Health, Education and Infrastructure.

Dr Charles Sokile is the managing director of Oxford Policy Management (OPM) in Tanzania, a research institution. He said that, if the currency depreciation is not effectively addressed, it would also increase domestic production costs, as manufactures would have to import raw materials at higher prices.

“Eventually, the consumer will suffer the consequences. Locally produced goods would become uncompetitive at the marketplace,” he warned.

These sentiments were echoed by a reputable business consultant and economist, Dr Donath Olomi, who said that, without stability in exchange rates, businesses would suffer.
Why the depreciation?

Prof Ngowi attributed the trend partly to a decrease in export volumes of cashew nuts, as a result of a delay in the commencement of exports.
Earnings from cashew nut exports decreased by 62.9 per cent during the year that ended on December 31, 2018, compared to the same period a year before – falling to $196.5 million (Sh472 billion).

Prof Ngowi also linked the depreciation with the recent crackdown by the Bank of Tanzania (BoT) on bureaux de change, which saw to a decrease in supply of the greenback.

For his part, Dr Sokile attributed the drop in value of the shilling to massive infrastructural development projects like the Standard Gauge Railway and Stiegler’s Gorge hydropower station, whose implementation require the use of dollars.

He also said that strengthening the business environment during the past two years – which saw to the closure of some businesses – had a hand in the depreciation of the national currency.
The drop is also partly attributable to the decline in foreign direct investments (FDIs) for the third year running.

According to the United Nations Conference on Trade and Development (Unctad), FDI flows to Tanzania dipped by 24.4 per cent in 2017, to $1.18 billion (Sh2.8 trillion), compared with the 2015 level.

Solution
Prof Ngowi called for more exports in terms of volume and quality, to earn more foreign exchange.
To that end, he suggested creation of a friendly environment that would attract more tourist dollars.
Calling for modest remittance costs to encourage more Tanzanians in diaspora to send money to their motherland,
Prof Ngowi also suggested improving relations with donor countries and other development partners.
Dr Sokile was of the view that the government should closely monitor the situation to enable it decide whether or not intervention by releasing more dollars to stabilise the shilling would be the best option. He also urged the government, working through the Tanzania Trade Development Authority (Tantrade) to encourage more exportation.
For his part, Dr Olom, stressed that the government should create a business-friendly climate by removing obstacles, thus spurring both local and foreign investments.

In late January this year, BoT said the shilling was not in a crisis, explaining that the current movement in the exchange rate was a seasonal phenomenon related to low foreign exchange earnings from tourism and crop exports.
“This is a common trend that usually normalizes in the second half of the year when earnings from tourism and exports pick-up,” reads the central bank’s statement in part.
Nataka Magufuli ashindwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Jamani tusitupe jongoo na mti wake". Wala tusilete siasa kwenye masuala ambayo hayahitaji siasa ila busara na hekima.
Mtakumbuka kuwa Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani Tanzania ilipata sifa kubwa ki-mataifa na tukasifiwa kweli kweli. Tatizo likitokea kwenye nchi zao, watu wakawa wanajiuliza, "Magufuli angefanya nini kupata suluhu ya jambo hilo?" Watu wengi hasa wasomi wetu, wanapenda sana kuelezea matatizo kutumia vitabu vinasema nini. Acheni vitabu rudini kwenye historia ya nchi yetu mtagundua kinachotokea.
Tanzania tuliwahi kuwa na mfumo ambao Serikali ilikuwa inahodhi maamuzi ya kiuchumi. Nia yake ilikuwa njema lakini mfumo huo una mapungufu kwa sababu wale wanaomua masuala ya uchumi hawawezi kuwa na taarifa za kutosha na kwa muda mfupi kiasi cha kutimiza matakwa ya nchi nzima. Hapo unakuwa umeamini kuwa watu wanaofanya maamuzi hayo wote wana nia moja na nia njema ya kufaidisha umma ambayo si kweli, kuna unafiki, uwongo na upendeleo mwingi ambao huingiliana na nia njema iliyokusudiwa. Ndiyo hulka ya binadamu ilivyo. Mfumo wa aina hiyo hatimaye hauwezi kutumia rasilimali zake kwa ufanisi kwa hiyo mwishowe huwa mzigo hata kwa wananchi. Mfumo huu tuliujaribu wakati wa Chama kimoja ukatushinda.
Mfumo uliokuja badala yake ulikuwa na nia ya kutawanya madaraka ya uamuzi ambao sisi tuliita "kulegeza masharti ya kiuchumi." Huu mfumo ndiyo ukaturudisha kwenye uchumi wa sasa na Tanzania tukawa sehemu ya uchumi wa dunia. Ilikuwa kazi kweli kukubalika, kama inavyotokea Zimbabwe sasa na Venezuela itakuwa hivyo hivyo mwishowe, ingawa wenzetu wana mafuta mengi.
Katika kulegeza masharti, Tanzania ilianza kujijengea mfumo wa kiuchumi ambao ulifanana na nchi nyingine na mfumo huo ulilenga kuwa na taratibu za kisheria na taasisi huru kwa mujibu wa sheria ambazo zinatumika kwenye nchi mbali mbali. Huu mfumo ulipoanza kukolea hapa nchini ndipo uwekezaji wa ndani na nje ukaanza kukua kwa kasi.
Mfumo huu unahitaji utawala thabiti hasa kuanzia juu kabisa kwa Rais. Mtakumbuka wakati huo ndipo hata Mahakama Kuu ilianzisha Idara ya Mahakama inayohusika na masuala ya Uchumi na Biashara, Kituo cha Uwekezaji kilianzishwa na hata Mamlaka za Udhibiti zilianzishwa. Nia ilikuwa kuwahakikishia wananchi na Ulimwengu kuwa utawala wa sheria hata kwenye uchumi utakuwepo.
Katika nchi yo yote, Tanzania ikiwemo, mapigo ya moyo wa nchi hutegemea sana mapigo ya moyo wa kiongozi mkuu na katika nchi yetu ni mapigo ya moyo wa Rais wetu.
Kwa hiyo katika awamu zote, hasa tangu awamu zote mpaka sasa tumetegemea mapigo ya Rais aliyepo madarakani.
Kuna wakati ambapo, pamoja na sheria na taasisi kuwepo, rushwa na ufisadi ulianza kuingilia ufanisi wa taasisi. Baadhi ya maamuzi ya mahakama, kwa mfano yalipendelea watu wenye fedha, kama huna fedha hukuweza kushinda kesi. Baadhi ya watu wenye uhusiano na watawala walianza nao kuwa na kauli kama vile ni watawala na ukibishana nao kweli ulikuwa unapatwa na balaa kama vile umebishana na mtawala mwenyewe! Hili liliwaudhi wananchi wengi hata wageni ambao walikuwa wanaitakia Tanzania mema. Kwa hiyo awamu ya tano ilipokuja ikakemea rushwa na ufisadi kwa nguvu, watu wote wa ndani na nje walifurahi. Na hata kwenye taasisi za kiuchumi sasa hakuna mtu ambaye si mtawala anatamba siku hizi.
Hali ya sasa ilivyotokea ni kwamba, kwa nia njema kabisa, ili kuzuia ufisadi, maamuzi makubwa ya uchumi yamerudi karibu kama awamu ya kwanza. Matatizo ni yale yale kuwa taarifa na maamuzi hayawezi kuwa ya haraka kama uchumi unavyotaka. Pia Taasisi zimeingia uwoga wa kufanya maamuzi. Kwa mfano, kodi zimekusanywa mahali pengine ambapo siyo halali. Wawekezaji wa ndani na nje hawana uhakika kama utawala wa sheria unasimamiwa kwa uhuru. Hakuna kitu ambacho mwekezaji anachukia kama kuamka kesho na kusikia Waziri amebadili utekelezaji wa jambo fulani bila ama majadiliano au kutoa notisi inayotakiwa. Masuala uwekezaji si ya "kufuata sheria bila shuruti" ni suala la utashi wa mtu binafsi kama atumie hela kwenye anasa au awekeze kwa faida ya miaka ijayo. Lazima mwekezaji huyo afikirie ajali zinazoweza kutokea kwa wakati ujao.
Kwa hiyo Tanzania kama inataka iendeleze pale wenzake walipokuwa wamefikia, ukiondoa rushwa na ufisadi, inatakiwa irudishe imani kwa wananchi na wawekezaji kuwa:
1.Utawala wa sheria utakuwepo na utaonekana hata kwa mjinga kuwa upo.
2.Taasisi zenye uhuru wa kiundeshaji ziachiwe uhuru huo na zionekane zina uhuru pamoja na kufuatwa taratibu za uteuzi kwa mujibu wa sheria na uteuzi usiwe zawadi ya jambo lo lote maana uteuzi wa aina hiyo unampa kiburi aliyeteuliwa. Aidha,hizi taasisi zina namna ya kuwawajibisha wanaofanya makosa makubwa kama ilivyo kwa Rais mwenyewe; lazima taratibu hizo zifuatwe wanapowajibishwa vinginevyo wataendesha mambo kwa kutazama uso wa Rais na kujaribu kumpendeza badala ya kutenda haki.
3.Weledi, uelewa, uzoefu na uaminifu ndiyo viwe vigezo vya uteuzi na siyo shahada peke yake.
4. Kodi ni lazima ikusanywe; lakini iwe kwa mujibu wa sheria. Kuna makampuni ya kimataifa ambayo ni ya wezi hayo yachujwe; lakini kuna makampuni hapa duniani yanaendeshwa kwa mujibu wa sheria na yanasisitiza kulipa kodi kwenye nchi ambayo yamefanya faida. Kama hawajaiba tuwape heshima yao. Ndiyo maana wenzetu wengine kwenye nchi zilizoendelea hata wosia wa urithi hawaachii watoto wao sehemu kubwa ili nao watoto wafanye kazi kama wazazi wao walivyofanya. Wanatoa sehemu ya urithi wao kwenye nchi zetu. Wastaarabu wenye mali halali huwaita wanaokwepa kulipa kodi halali "moonlighters" yaani wafanyia kazi kwa mbalamwezi. Tusidhani kila mtu wa nje ni mwizi! Ukiamini hivyo basi usichukie unapoambiwa na Wazungu kichaa kuwa kila mtu mweusi ni mwongo!
Mwisho, ombi kwa serikali ni kushikilia bango la ufisadi kama inavyofanya sasa, lakini kutumia utawala wa sheria, haki, bila ubaguzi, bila visasi vya aina yo yote na kutambua kuwa ili nchi iendelee huhitaji wanasiasa tu unahitaji kada nyingi zifanye kazi kwa uzalendo na imani kuwa hapa ni mahali salama ambapo hisia za mtu siyo zinazotawala ila sheria. Watu hawatatoa hela nje watazibakiza humu ndani. Ikiwa watu wa kawaida hawanunui dola na kutoa nje basi mauzo ya nje yanayolega lega yatakuwa mambo ya muda tu kama Benki Kuu inavyoeleza. Lakini tukirudi kule kwenye miaka ya 1960 na 70 uchumi wetu hautakuja kutengemaa. Watu, hasa wenye kipato cha kati wakibaki na mchecheto kila fursa ya kununua dola na kuwekeza nje, nyingine hata kwa marafiki tu zitatafutwa na shilingi itaendelea kudorora kama ilvyofanya zamani kutoka Dola moja shillingi 8 mpaka sasa ni shillingi 2,240!
 
...shilingi itaendelea kudorora kama ilivyofanya zamani kutoka Dola moja shillingi 8 mpaka sasa ni shillingi 2,240!
Wakati Jumuiya ua Afrika Mashariki inavunjika mwaka 1977, dola moja ya Marekani ilikuwa sawa na shilingi 7/= ya Tanzania, pound sterling ya Uingereza ilikuwa sawa na shilingi 20/= ya Tanzania (na ndio maana noti yetu ya 20/= iliitwa pauni moja), shilingi moja ya Kenya ilikuwa sawa na shilingi moja ya Tanzania.

Hivi leo dola moja ya Marekani inakaribia sh. 2,500/= , pound sterling ya Uingereza imevuka sh. 3,000/= na shilingi moja ya Kenya inakaribia sh. 25/=. Mwaka 1977 ndio CCM ya sasa ilizaliwa na haihitaji akili kujua kuwa CCM ndio adui namba wani wa taifa hili.
 
We need some miracles,in deed mr stone up to now still conservative.Tutakufa kichaga na cash mfukoni.we have alot of resources but the problem how to run.but this round amebaki na penalty moja akikosa lazima tuwapigie wachina magoti watupe hela zao za moto ata kama riba ipo juu.mambo yamekuwa mengiii,na mengi......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom