Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Aisee kwa kweli sasa TZS inapanda thanani dhidi ya madafu ya Obama, kwa sasa 1US$ = TZS 1560 two months ago ulikuwa say unataka kununu nje kitu cha US$ 20000 ungetumia TZS 5m zaidi kama unataka kununua sasa..
My take: Huu ni wakati muafaka wa kuagiza bidhaa toka nje..
huu ni wakati muafaka wa kununua dola, ikifika jan, feb mwakani, dolor inarudi pale pale.
Aisee kwa kweli sasa TZS inapanda thanani dhidi ya madafu ya Obama, kwa sasa 1US$ = TZS 1560 two months ago ulikuwa say unataka kununu nje kitu cha US$ 20000 ungetumia TZS 5m zaidi kama unataka kununua sasa..
My take: Huu ni wakati muafaka wa kuagiza bidhaa toka nje..
Dola ndo imeshuka b'coz imechapwa nyingi kwa sababu ya sikukuu za mwisho wa mwaka ngoja february utaonaDu hongera mkulo na mwana-uchumi dr dr dr kwa kuipandisha thamani shilling