Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Aisee kwa kweli sasa TZS inapanda thanani dhidi ya madafu ya Obama, kwa sasa 1US$ = TZS 1560 two months ago ulikuwa say unataka kununu nje kitu cha US$ 20000 ungetumia TZS 5m zaidi kama unataka kununua sasa..
My take: Huu ni wakati muafaka wa kuagiza bidhaa toka nje..
My take: Huu ni wakati muafaka wa kuagiza bidhaa toka nje..