pepsin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 3,480
- 6,162
Wachumi wa kisiasa tuambieni, hili nalo limesababishwa na nini?
Eti juzi 1USD ilinunuliwa kwa max. TSH 2245 na kuuzwa kwa 2252 max.
Sasa eti 1USD inanunuliwa kwa TSH 2262 kuuzwa kwa Tsh 2270+
Au ndio mambo ya hiyo namba ya kusoma namba 1.5trillion?
Eti juzi 1USD ilinunuliwa kwa max. TSH 2245 na kuuzwa kwa 2252 max.
Sasa eti 1USD inanunuliwa kwa TSH 2262 kuuzwa kwa Tsh 2270+
Au ndio mambo ya hiyo namba ya kusoma namba 1.5trillion?