Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,605
- 3,176
Wadau,
Jana nilijaribu kufuatilia thamani ya pesa yetu dhidi ya pesa za kigeni na nilichogundua ni kwamba shilingi inapoteza thamani yake kwa kasi ya ajabu. Wiki tatu zilizopita on average kwa mfano USD 1 = Tshs 1,490 lakini kwa exchange rate za jana 1 USD = Tshs. 1,600 on average. Kwa upande wa Euro, Euro 1 = 2,180 on average lakini jana 1 Euro = 2,270.
Hivi kuna anayeweza kutupa maelezo ya kitaalamu ni kwanini pesa yetu inashuka thamani kwa kasi ya namna hiyo? Je wenzetu wa BOT wanachukua hatua gani kukabiliana na hali hii?
Tiba
Jana nilijaribu kufuatilia thamani ya pesa yetu dhidi ya pesa za kigeni na nilichogundua ni kwamba shilingi inapoteza thamani yake kwa kasi ya ajabu. Wiki tatu zilizopita on average kwa mfano USD 1 = Tshs 1,490 lakini kwa exchange rate za jana 1 USD = Tshs. 1,600 on average. Kwa upande wa Euro, Euro 1 = 2,180 on average lakini jana 1 Euro = 2,270.
Hivi kuna anayeweza kutupa maelezo ya kitaalamu ni kwanini pesa yetu inashuka thamani kwa kasi ya namna hiyo? Je wenzetu wa BOT wanachukua hatua gani kukabiliana na hali hii?
Tiba