kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 914
Kwani huyo Uchebe alivyomuoa Shilole hakuyajua hayo?
Me sioni kitu gani mnachomtetea unapoolewa lazima Kuna baadhi ya mambo lazima ubadilishe mfano sisi wanaume tunakuaga hatutulii na demu mmoja tunapokuwa hatujaoa ila tukioa lazima hiyo tabia tunacha tutastick na mke tu.
Me sijaona niambie wewesoma vizuri andiko lako
🤣🤣🤣🤣Olewa wewe na Uchebe
hapo sasaKwani huyo Uchebe alivyomuoa Shilole hakuyajua hayo?
Wangetulia huko sasa kama hawasumbuki siyo kuleta makelele publicKwani akishikwa shikwa Kwa hiari yake na mumewe hasumbuki.why iwe shida Kwa wengine?
Anataka kuhurumiwa sababu kaonewa. Binti umemkuta anashikwa shikwa na kupapaswa na ndo njia yake ya kipato, umemuoa ukitaka aache mpe kila kitu kama huwezi vumilia tu.Shida inakuja pale Shilole anapolazimisha tumuhurumie kujifanya msafi kumbe na yeye mchafu acha atandikwe
Me sioni kitu gani mnachomtetea unapoolewa lazima Kuna baadhi ya mambo lazima ubadilishe mfano sisi wanaume tunakuaga hatutulii na demu mmoja tunapokuwa hatujaoa ila tukioa lazima hiyo tabia tunacha tutastick na mke tu.
Unavyomwambia uchebe atafute hela lini ulimuona amerelax?Vijana msipende mseleleko angalia kijana,anavyo vuliwa nguo,hela ya mwanamke CHUNGU haijawahi kuwa tamu,tafuteni hela vijana.
View attachment 1536310
Soma alichoandika Shilole,umekielewa?Unavyomwambia uchebe atafute hela lini ulimuona amerelax?
Uchebe ni kijana mtafutaji sio Marioo Kama akina nuh mziwanda Kuna tofauti kubwa Sana ya kuwa na kipato kidogo na kuwa Marioo.Na kuzidiwa kipesa na mpenzi wako Ni Jambo la kawaida na haimanishi wewe Ni Marioo haina haja ya kutangazia umma kwani shilole si alimpa kwa hiari yake kwani alilazimishwa?Soma alichoandika Shilole,umekielewa?
Aliyajua na akafikiri kipigo kitamnyoosha akae kwenye mstari.Kwani huyo Uchebe alivyomuoa Shilole hakuyajua hayo?
Shilole hawezi kusema KUMBRAND anasema KUMBLAND.Vijana msipende mseleleko angalia kijana,anavyo vuliwa nguo,hela ya mwanamke CHUNGU haijawahi kuwa tamu,tafuteni hela vijana.
View attachment 1536310
Habari za kupiga wanawake ni ujima.Aliyajua na akafikiri kipigo kitamnyoosha akae kwenye mstari.
We una ongea hivyo kwasababu ujakutana na wanawake machiziHabari za kupiga wanawake ni ujima.
Mwanamme haswa unatakiwa ukisema tu neno lako ni zaidi ya kipigo.