Shilole alistahili kipigo cha Bw. Uchebe

Shilole alistahili kipigo cha Bw. Uchebe

Ila alivyokuwa anapigwa Nuhu Mziwanda ilikuwa sawa?.

Hata Barnaba alikuwa analia kila siku lakini hamkujitokeza kumtetea, leo karma imemkuta ndio mnamuonea huruma.
Two wrongs do not make a right.

Hutakiwi kuhalalisha mtu kupigwa leo kwa sababu mwingine alipigwa awali.

Alivyopigwa Nuhu Mziwanda uliniuliza nikatetea kupigwa kwake? Unajuaje kwamba hata nilijua alipigwa?

Yani unataka kunifanya sina maisha kila siku nafuatikia ma celebrity wote nani kapigwa leo?

Kichaa akila mavi, na wewe utasema ule mavi kama yeye kichaa na kula mavi ni sawa kwa sababu kichaa kala mavi?
 
Wanaume wa kipindi hiki kama wanawake!

Kama tumefikia kutetea upuuzi wa shilole hakika tunapotea

Ukishakubali kuoa/kuolewa basi inabidi ukubaliane na kubadiri mienendo yako ya awali... SHILOLE ni mwanamke mpuuzi anastahili kupigwa hata yeye alishakiri hilo
Hao wote wanaomtetea shishi ni wapuuzi mno.
Huwezi kuhukumu kwa kuusikiliza upande mmoja hiyo sio sahihi hta kidogo.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Shilole hakuolewa bali alioa,uchebe aligharamiwa kila kitu alienda kuishi nyumban kwa shilole akiwa na kifanyio tu(nacho kikashindwa kazi ndani,nje kikafotoa kopiraiti)

Acha hizo wanaueme wangekua hivyo michepuko isingetapakaa nchini.sijui unaongelea wanaume wa aina gani
Me sioni kitu gani mnachomtetea unapoolewa lazima Kuna baadhi ya mambo lazima ubadilishe mfano sisi wanaume tunakuaga hatutulii na demu mmoja tunapokuwa hatujaoa ila tukioa lazima hiyo tabia tunacha tutastick na mke tu.
 
Baada ya Shilole kuja public kulalamika kuwa amepigwa na mumewe Uchebe binafsi niliona Kama ameonewa na karibia watanzania wote tukaamini hivyo.

Leo wakati nimepitia YouTube kuangalia shows za wasanii wetu nikabahatika kuangalia shows za Shilole kiukwel zilinuuzunisha vitu anavyovifanya kwenye stage Ni ukafiri yaani anachagua mshabiki alafu anampandisha kwenye stage anashikwa makalio, anashikwa matiti wakati yeye ni mke wa mtu kwa style hii kwanini Uchebe asimtwange mangumi?

Inayoonesha Kuna mambo makubwa zaidi ya haya anamfanyia uchebe sema Ni kwamba uchebe kashindwa kuweka hadharani.

Wanawake especially Hawa macelebrities wa kike Ni mizinguo Sana akiachana na mchumba wake au mumewe wanakimbilia kufanya interviews ili waonekane Ni wema Sana na wenza wao ndio waonekane Wana matizo kwa jamii.

Mtu Kama shilole analalamika anashalalishwa na mumewe sasa unajiuliza hivo vitu anavyofanya kwenye stage anajidhalilisha au anadhalilishwa?

Hawa sio wasanii bali ujinga wao ndio uliowatambulisha , hawa wamejulikana kwa kujitoa ufahamu kwahiyo hayo mambo anayofanya ndio yaliyomtambulisha hana budi kuyaendeleza.
 
Ha haaa
Naona mmeshikia bango jamaa anakwepa kujibu mikono mizito.
[emoji23][emoji23][emoji23]
kuna wakati ukipigwa swali jf unaeza kuta vidole vinatetemeka na mapigo ya moyo yanaenda mbio kuliko ubongo unavyoweza kufikiri
 
Ila alivyokuwa anapigwa Nuhu Mziwanda ilikuwa sawa?.

Hata Barnaba alikuwa analia kila siku lakini hamkujitokeza kumtetea, leo karma imemkuta ndio mnamuonea huruma.
Two wrongs do not make a right.

Hutakiwi kuhalalisha mtu kupigwa leo kwa sababu mwingine alipigwa awali.

Alivyopigwa Nuhu Mziwanda uliniuliza nikatetea kupigwa kwake? Unajuaje kwamba hata nilijua alipigwa?

Yani unataka kunifanya sina maisha yangu kila siku nafuatilia ma celebrity wote nani kapigwa leo?

Kichaa akila mavi, na wewe utasema ule mavi kama yeye kichaa na kula mavi ni sawa kwa sababu kichaa kala mavi?
 
Wao ni mke na mume Leo watapigana kesho watanyanduana

Utaambia nini watu?
IMG_20200813_203733.jpg
 
Shilole hakuolewa bali alioa,uchebe aligharamiwa kila kitu alienda kuishi nyumban kwa shilole akiwa na kifanyio tu(nacho kikashindwa kazi ndani,nje kikafotoa kopiraiti)

Acha hizo wanaueme wangekua hivyo michepuko isingetapakaa nchini.sijui unaongelea wanaume ww aina gani
Kwani wakati shilole anaolewa akujua economic status ya uchebe?
 
Kwani uchebe wakati anaoa hakujua kazi ya shishi?
Yah alijua Ni msanii wa kuimba lakini sio msanii wa kushikwa matako,kupigwa madole na kuchezewa matiti yake huku akicheka akioneshwa anafurahishwa na anachofanyiwa na mshabiki wake.
 
Hayo yote shilole aliyafanya kabla ya ndoa kwan uchebe hakuona? Umario sio dili
Yah alijua Ni msanii wa kuimba lakini sio msanii wa kushikwa matako,kupigwa madole na kuchezewa matiti yake huku akicheka akioneshwa anafurahishwa na anachofanyiwa na mshabiki wake.
 
Hayo yote shilole aliyafanya kabla ya ndoa kwan uchebe hakuona? Umario sio dili
Umarioo wa Uchebe uko wapi? Na inavyoonesha wewe Ni mwanamke usio na staha ndio maana unamtetea shilole hii michezo umezoea Sana lakini pia ujiulizi pamoja na michezo hii ya ujana wako lakini mume wako akakuoa?
 
Inaonekana wewe ni mario ndio maana unamtetea uchebe. Huyo boya kwa kuzuzuka na pesa za shishi akamtaliki mkewe wa kwanza,mwanamke ndo kwanza alikua ametoka kujifungua akatandikwa talaka zote bila kosa. Pambana na hali yako mario
Umarioo wa Uchebe uko wapi? Na inavyoonesha wewe Ni mwanamke usio na staha ndio maana unamtetea shilole hii michezo umezoea Sana lakini pia ujiulizi pamoja na michezo hii ya ujana wako lakini mume wako akakuoa?
 
Inaonekana wewe ni mario ndio maana unamtetea uchebe. Huyo boya kwa kuzuzuka na pesa za shishi akamtaliki mkewe wa kwanza,mwanamke ndo kwanza alikua ametoka kujifungua akatandikwa talaka zote bila kosa. Pambana na hali yako mario
Nilichogundua kutoka kwako Ni kwamba ujui kutofautisha Kati ya mtu kuwa na kipato kidogo na mtu kuwa Marioo.
 
Baada ya Shilole kuja public kulalamika kuwa amepigwa na mumewe Uchebe binafsi niliona Kama ameonewa na karibia watanzania wote tukaamini hivyo.

Leo wakati nimepitia YouTube kuangalia shows za wasanii wetu nikabahatika kuangalia shows za Shilole kiukwel zilinuuzunisha vitu anavyovifanya kwenye stage Ni ukafiri yaani anachagua mshabiki alafu anampandisha kwenye stage anashikwa makalio, anashikwa matiti wakati yeye ni mke wa mtu kwa style hii kwanini Uchebe asimtwange mangumi?

Inayoonesha Kuna mambo makubwa zaidi ya haya anamfanyia uchebe sema Ni kwamba uchebe kashindwa kuweka hadharani.

Wanawake especially Hawa macelebrities wa kike Ni mizinguo Sana akiachana na mchumba wake au mumewe wanakimbilia kufanya interviews ili waonekane Ni wema Sana na wenza wao ndio waonekane Wana matizo kwa jamii.

Mtu Kama shilole analalamika anashalalishwa na mumewe sasa unajiuliza hivo vitu anavyofanya kwenye stage anajidhalilisha au anadhalilishwa?
Wewe jamaa umeanza kujua mambo ya mitandao hivi karibuni.

Haya mambo unayoyazungumza ni ya kitambo sana kabla hata hajawa na Uchebe.
 
Me sioni kitu gani mnachomtetea unapoolewa lazima Kuna baadhi ya mambo lazima ubadilishe mfano sisi wanaume tunakuaga hatutulii na demu mmoja tunapokuwa hatujaoa ila tukioa lazima hiyo tabia tunacha tutastick na mke tu.
Leta Clip ya Shilole anashikwa shikwa baada ya kuolewa na Uchebe.
 
Back
Top Bottom