Ila alivyokuwa anapigwa Nuhu Mziwanda ilikuwa sawa?.Habari za kupiga wanawake ni ujima.
Mwanamme haswa unatakiwa ukisema tu neno lako ni zaidi ya kipigo.
Beyonce ni mwanamziki wakike ila mbona afanyi huo upuuzi Kama washilole kwani Ni lazima ukiwa msanii lazima ushikwe matiti,upigwe madole?Kwani akishuka kwenye stage anaminywa?
Inamaana ukioa polisi utampigia salute hata akiwa amesaula kindani? Usidharau kazi za watu
Akikujibu nitagIla alivyokuwa anapigwa Nuhu Mziwanda ilikuwa sawa?.
Hata Barnaba alikuwa analia kila siku lakini hamkujitokeza kumtetea, leo karma imemkuta ndio mnamuonea huruma.
Mwanamke huwaga haelewagi kama amekupa kwa hiyari au hauja mlazimisha.Uchebe ni kijana mtafutaji sio Marioo Kama akina nuh mziwanda Kuna tofauti kubwa Sana ya kuwa na kipato kidogo na kuwa Marioo.Na kuzidiwa kipesa na mpenzi wako Ni Jambo la kawaida na haimanishi wewe Ni Marioo haina haja ya kutangazia umma kwani shilole si alimpa kwa hiari yake kwani alilazimishwa?
Olewa wewe na Uchebe
Anaumonea wivu Shilole ati rafiki.ππππ matusi ya reja reja umejifunzia wapi rafiki?
Uchebe ana kipato kidogo sio kwamba nimpenda kitonga shilole hakuwa na haja ya kwenda public kumsema kwani wakati ana date nae hakujua uwezo wa kifedha wa uchebe? Mpaka amdhalilishe mumeweMwanamke huwaga haelewagi kama amekupa kwa hiyari au hauja mlazimisha.
Mwisho ya yote hela mwanamke ni Chungu sana,nawaone huruma wanaopenda vitonga,labda upate mwanamke ana hela na anamjua Mungu.
Ebu kaangalie video ya mdau aliyopost hapo juu uone upuuzi wa shilole sijui wewe unamtetea kitu ganiAnaumonea wivu Shilole ati rafiki.
Mwanamke haelewi kuzalilisha cha msingi jifunze kupitia hilo.Uchebe ana kipato kidogo sio kwamba nimpenda kitonga shilole hakuwa na haja ya kwenda public kumsema kwani wakati ana date nae hakujua uwezo wa kifedha wa uchebe? Mpaka amdhalilishe mumewe
Ha haaaInno jibu tu hilo swali , Kwani alipotaka kumuoa alimkuta tofauti brother
Uchebe alimuoa shilole akiwa keshafanya yote hayo ikiwa na maana kwamba aliridhika nayo.Kwani kuwa msanii Ni lazima ushikwe matiti au upigwe madole?
Yeye uchebe alitakiwa ajue huko ndiko msosi wake unakotoka, atulie tuuSi ndio maana anakula ngumi za uchebe
kula na 'like' yangu kumbe ukiacha utimu wa kipuuzi una akili timamuUchebe ni kijana mtafutaji sio Marioo Kama akina nuh mziwanda Kuna tofauti kubwa Sana ya kuwa na kipato kidogo na kuwa Marioo.Na kuzidiwa kipesa na mpenzi wako Ni Jambo la kawaida na haimanishi wewe Ni Marioo haina haja ya kutangazia umma kwani shilole si alimpa kwa hiari yake kwani alilazimishwa?