Utimu Kama upi?kula na 'like' yangu kumbe ukiacha utimu wa kipuuzi una akili timamu
Two wrongs do not make a right.Ila alivyokuwa anapigwa Nuhu Mziwanda ilikuwa sawa?.
Hata Barnaba alikuwa analia kila siku lakini hamkujitokeza kumtetea, leo karma imemkuta ndio mnamuonea huruma.
Hao wote wanaomtetea shishi ni wapuuzi mno.Wanaume wa kipindi hiki kama wanawake!
Kama tumefikia kutetea upuuzi wa shilole hakika tunapotea
Ukishakubali kuoa/kuolewa basi inabidi ukubaliane na kubadiri mienendo yako ya awali... SHILOLE ni mwanamke mpuuzi anastahili kupigwa hata yeye alishakiri hilo
Me sioni kitu gani mnachomtetea unapoolewa lazima Kuna baadhi ya mambo lazima ubadilishe mfano sisi wanaume tunakuaga hatutulii na demu mmoja tunapokuwa hatujaoa ila tukioa lazima hiyo tabia tunacha tutastick na mke tu.
UsitutukaneWanawake wa kinyamwezi hawafugiki.
Baada ya Shilole kuja public kulalamika kuwa amepigwa na mumewe Uchebe binafsi niliona Kama ameonewa na karibia watanzania wote tukaamini hivyo.
Leo wakati nimepitia YouTube kuangalia shows za wasanii wetu nikabahatika kuangalia shows za Shilole kiukwel zilinuuzunisha vitu anavyovifanya kwenye stage Ni ukafiri yaani anachagua mshabiki alafu anampandisha kwenye stage anashikwa makalio, anashikwa matiti wakati yeye ni mke wa mtu kwa style hii kwanini Uchebe asimtwange mangumi?
Inayoonesha Kuna mambo makubwa zaidi ya haya anamfanyia uchebe sema Ni kwamba uchebe kashindwa kuweka hadharani.
Wanawake especially Hawa macelebrities wa kike Ni mizinguo Sana akiachana na mchumba wake au mumewe wanakimbilia kufanya interviews ili waonekane Ni wema Sana na wenza wao ndio waonekane Wana matizo kwa jamii.
Mtu Kama shilole analalamika anashalalishwa na mumewe sasa unajiuliza hivo vitu anavyofanya kwenye stage anajidhalilisha au anadhalilishwa?
[emoji23][emoji23][emoji23]Ha haaa
Naona mmeshikia bango jamaa anakwepa kujibu mikono mizito.
Two wrongs do not make a right.Ila alivyokuwa anapigwa Nuhu Mziwanda ilikuwa sawa?.
Hata Barnaba alikuwa analia kila siku lakini hamkujitokeza kumtetea, leo karma imemkuta ndio mnamuonea huruma.
Kwani wakati shilole anaolewa akujua economic status ya uchebe?Shilole hakuolewa bali alioa,uchebe aligharamiwa kila kitu alienda kuishi nyumban kwa shilole akiwa na kifanyio tu(nacho kikashindwa kazi ndani,nje kikafotoa kopiraiti)
Acha hizo wanaueme wangekua hivyo michepuko isingetapakaa nchini.sijui unaongelea wanaume ww aina gani
Kwani wakati shilole anaolewa akujua economic status ya uchebe?
Yah alijua Ni msanii wa kuimba lakini sio msanii wa kushikwa matako,kupigwa madole na kuchezewa matiti yake huku akicheka akioneshwa anafurahishwa na anachofanyiwa na mshabiki wake.Kwani uchebe wakati anaoa hakujua kazi ya shishi?
Yah alijua Ni msanii wa kuimba lakini sio msanii wa kushikwa matako,kupigwa madole na kuchezewa matiti yake huku akicheka akioneshwa anafurahishwa na anachofanyiwa na mshabiki wake.
Umarioo wa Uchebe uko wapi? Na inavyoonesha wewe Ni mwanamke usio na staha ndio maana unamtetea shilole hii michezo umezoea Sana lakini pia ujiulizi pamoja na michezo hii ya ujana wako lakini mume wako akakuoa?Hayo yote shilole aliyafanya kabla ya ndoa kwan uchebe hakuona? Umario sio dili
Umarioo wa Uchebe uko wapi? Na inavyoonesha wewe Ni mwanamke usio na staha ndio maana unamtetea shilole hii michezo umezoea Sana lakini pia ujiulizi pamoja na michezo hii ya ujana wako lakini mume wako akakuoa?
Nilichogundua kutoka kwako Ni kwamba ujui kutofautisha Kati ya mtu kuwa na kipato kidogo na mtu kuwa Marioo.Inaonekana wewe ni mario ndio maana unamtetea uchebe. Huyo boya kwa kuzuzuka na pesa za shishi akamtaliki mkewe wa kwanza,mwanamke ndo kwanza alikua ametoka kujifungua akatandikwa talaka zote bila kosa. Pambana na hali yako mario
Wewe jamaa umeanza kujua mambo ya mitandao hivi karibuni.Baada ya Shilole kuja public kulalamika kuwa amepigwa na mumewe Uchebe binafsi niliona Kama ameonewa na karibia watanzania wote tukaamini hivyo.
Leo wakati nimepitia YouTube kuangalia shows za wasanii wetu nikabahatika kuangalia shows za Shilole kiukwel zilinuuzunisha vitu anavyovifanya kwenye stage Ni ukafiri yaani anachagua mshabiki alafu anampandisha kwenye stage anashikwa makalio, anashikwa matiti wakati yeye ni mke wa mtu kwa style hii kwanini Uchebe asimtwange mangumi?
Inayoonesha Kuna mambo makubwa zaidi ya haya anamfanyia uchebe sema Ni kwamba uchebe kashindwa kuweka hadharani.
Wanawake especially Hawa macelebrities wa kike Ni mizinguo Sana akiachana na mchumba wake au mumewe wanakimbilia kufanya interviews ili waonekane Ni wema Sana na wenza wao ndio waonekane Wana matizo kwa jamii.
Mtu Kama shilole analalamika anashalalishwa na mumewe sasa unajiuliza hivo vitu anavyofanya kwenye stage anajidhalilisha au anadhalilishwa?
Leta Clip ya Shilole anashikwa shikwa baada ya kuolewa na Uchebe.Me sioni kitu gani mnachomtetea unapoolewa lazima Kuna baadhi ya mambo lazima ubadilishe mfano sisi wanaume tunakuaga hatutulii na demu mmoja tunapokuwa hatujaoa ila tukioa lazima hiyo tabia tunacha tutastick na mke tu.
Nilichogundua kutoka kwako Ni kwamba ujui kutofautisha Kati ya mtu kuwa na kipato kidogo na mtu kuwa Marioo.
Kwa mara ya kwanza ,leo umeongea pointi.Nilichokigundua toka kwako ni ukurupukaji. Kushika simu ukubwani shida sana