Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Huyu dada hua anawapaga nn mpaka wanaume zake wanakua kenge maji hviiii?????
Mkuu wanaume wa dar wamejaa njaa za kufa mtu ndo maana wanapigwa nyuma maana hawawez kabisa kufanya kaz
 
Udhalilishaji mkubwa sana. Iwe fundisho kwa Marioo wengine.
 
Wacha watandikwe! Si wanatafuta kutokea kwa Shishi!

Hata mwanamke anayetegemea mwanaume na yeye kukatandikwa ni ada yake!
 
Ukiolewa huwezi kuwa na sauti ,ukitaka kujua hayo angalia nyumba zinazoonekana Mwanamke kuwa na nguvu kiuchumi utaelewa.

Mwanaume unakaa na mwanamke hana kipato miaka ila sio mwanaume ukose kipato ni shida.
Hahahah kwa kweli, hii ni balaa ndio maana napambana nijikwamue kabla sijamiliki mke. Mwanamke siku zote hayawezi madaraka aisee, akiyapata lazma mtu anyanyasike tu
 
Hahahahah huyu shilole nae dah...this is too much! Akija kwangu hio siku anarusha kofi nitamfanya hakuna mbona. Ntampiga kama ME mwenzangu maana hana adabu. Combination ya nakoz na ndoo yani lazma nimvujishe michuzzzz ili shilawadu waongee vizuri
Mi angetest kwangu ningemtisha na right 'jebu' akajaa then naingia na left hook katafunua lazima aende chini ila kAbla ya kufika chini atasindikizwa na mawashi geri iliyorushwa kistadi na kumfanya aanguke kama tenga la viazi ulaya. Shabash, siwez pigwa nwanamke ati!
 
Ingekua ni huyo shilole kapigwa ungesikia udhalilishaji wa kijinsia
 
dawa ya hawa marioooo ni kuwapiga dole la kati mbele ya kadamnasi.. shishi anawapendelea sana kwa kuwagonga mikofi.
 
Sensa ya wanaume halisi iitishwe
 
Aahahahaha kwa kipigo hiki lazma mgawane majengo ya serikali
 
Si ndo alikua analalamika nuh mziwanda
 
Avumilie tu lakni papuchi si anapiga au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…