Shilole amsaidia Mbwana Samatta

Shilole amsaidia Mbwana Samatta

Anayebisha abishe tu lakini hakuna MTZ maarufu nchini Belgium kama shishi baby au shilole ambako aliangusha show kali iliyohudhuriwa na watu 28,000 jijini Antwerp kiasi kwamba haters wa huku Bongo wakaamua kumfungia ila wenye busara zao wakamtumia kwenye kampeni za CCM ambapo single handedly aliwasaidia kushinda.

Sasa umaarufu wa Shishi baby umemsaidia Samata kusajiliwa na Genk fc na wengine watafta wengi tu haswa pale shishi atakapoenda Brussels early next year kufanya show katika uwanja unaomilikiwa na team hiyo.

Mwenye masikio asikie na mwenye macho aone, na wewe samatta usimpomshukuru shishi in public tutatoa barua ya Genk fc team inayosema imekusajili sababu waliisikia Tanzania mara ya kwanza baada ya kuhudhuria show ya shilole.
Wakupime, Kama Si Sigara Bwege, Basi Malaria Imepanda Kichwani!!
 
kama sababu ni shilole kwanini asingesajiliwa mrisho ngasa ambaye ndio alikuwa mpenzi WAKE....au boban
 
Hapa naona huyo shishi anajipigia debe kwa kijana Mbwana ili apate gepu,sasa na yule mtoto unayembemenda itakuwaje?
 
Mbulula wee soka na huo upuuzi wapi na wapi acha kulishishia soka heshima
 
Back
Top Bottom