Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
cha kwanza kilikuja kwa mashua ya wapelelezi wa kizungu iliyoongozwa na upepo uliowabwaga huku kwetu
shilole atakiweza wapi.......shule muhim wallahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cha kwanza kilikuja kwa mashua ya wapelelezi wa kizungu iliyoongozwa na upepo uliowabwaga huku kwetu
May be its typing error bwana,mwacheni shilole wa watu,mi nilijua kakosea wakat anaongea kumbe kuandika?? We all make errors sometimes kwenye maandishi,au mnatak kumuangusha asifanye collabo na Jlo??,acheni wivu bwana..
naunga mkono hoja huenda ni tyoing error tu, lol
Naona umetuonesha kwa vitendo tyoing error!
Gumzo at 12:57 AM
SHILOLE AAMBULIA
MATUSI MARA MAADA YA
KUANDIKA KIINGEREZA
CHA UGOKO
MTANDAONI...
WAMWAMBIA KUWA
KIINGEREZA NI WITO..!!
Shilole aliamua kutandika yai
kwenye Instagram, ili kuzipa
uzito shukrani zake za dhati kwa
muongozaji wa video yake ya
Nakomaa na Jiji itakayotoka
Jumamosi hii, Nisher. Bahati mbaya, yai lake
lilivunjika mapema wakati
lilipokuwa likiufikisha ujumbe
huo na kuwafanya watu
waligeuzie mjadala.
Kama tumekuacha kwa lugha
hiyo, ni kwamba Shilole
aliandika Kiingereza
kilichokosewa sarufi aka Broken
English.
Shilole aliandika : I did ever
think I would do a nice video
like this thank you alot to my
director Nisherbybee.
KIINGEREZA NI WITO teh teh teh
cc: heaven on desert
atawezaje kushiriki na JLO kama the the nyingi hivyoo??
Sign language itahusika kwi kwi kwi
ha ha ha hv kaz zake n zipi? muigizaji,,muimbaji au?? mi namsikiaga tu kwakwel ila sijawai kuona kaz yake yoyote
Kingreza wito wajameni sa siku ya kutoa Kolabo na Jeniffer Ropez
mode of communication itakua ipi
It is a good start, She will improve next time. Keep it up Shilole! Hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums