shilole apata aibu mtandaoni

shilole apata aibu mtandaoni

May be its typing error bwana,mwacheni shilole wa watu,mi nilijua kakosea wakat anaongea kumbe kuandika?? We all make errors sometimes kwenye maandishi,au mnatak kumuangusha asifanye collabo na Jlo??,acheni wivu bwana..

naunga mkono hoja huenda ni tyoing error tu, lol
 
Kikristo bwana wewe kina wenyewe! Call a spade,spade!
 
Nimeipenda avatar yako imenifanya nicheke
Gumzo at 12:57 AM
SHILOLE AAMBULIA
MATUSI MARA MAADA YA
KUANDIKA KIINGEREZA
CHA UGOKO
MTANDAONI...
WAMWAMBIA KUWA
KIINGEREZA NI WITO..!!
Shilole aliamua kutandika yai
kwenye Instagram, ili kuzipa
uzito shukrani zake za dhati kwa
muongozaji wa video yake ya
‘Nakomaa na Jiji’ itakayotoka
Jumamosi hii, Nisher. Bahati mbaya, yai lake
lilivunjika mapema wakati
lilipokuwa likiufikisha ujumbe
huo na kuwafanya watu
waligeuzie mjadala.
Kama tumekuacha kwa lugha
hiyo, ni kwamba Shilole
aliandika Kiingereza
kilichokosewa sarufi aka Broken
English.
Shilole aliandika : I did ever
think I would do a nice video
like this thank you alot to my
director Nisherbybee.

KIINGEREZA NI WITO teh teh teh
cc: heaven on desert
 
Sikutarajia kama ningeweza kuja kutungeneza video nzuri kama hii asante sana mtarajishi wangu nisher
 
atawezaje kushiriki na JLO kama the the nyingi hivyoo??

kwani Fally Ipupa,Yosou Ndour,Selif Keita wanajua kiingereza?mbona wanafanya collabo na wanyamwezi?music is a universal language
 
kwani Fally Ipupa,Yosou Ndour,Selif Keita wanajua kiingereza?mbona wanafanya collabo na wanyamwezi?music is a universal language
:frusty: :frusty: :frusty: :A S-confused1:
 
Kingreza wito wajameni sa siku ya kutoa Kolabo na Jeniffer Ropez

mode of communication itakua ipi

kwani Fally Ipupa,Yosou Ndour,Selif Keita wanajua kiingereza?mbona wanafanya collabo na wanyamwezi?music is a universal language
 
It is a good start, She will improve next time. Keep it up Shilole! Hata mbuyu ulianza kama mchicha.


Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums

i like ur spirit...you don't sound like mbongo...kawaida ya wabongo mtu akikosea ni kuchekwa na kukatishwa tamaa kama post nyingi katika huu uzi zinavyoonyesha!
 
Back
Top Bottom