omary mwene JF-Expert Member Joined Nov 6, 2013 Posts 293 Reaction score 55 Nov 14, 2013 #61 wabongo hizo ndio zetu,c o kwenye hicho kizaramo tu peke yk.mambo mengi 2po hivyo!? cjui 2melogwa cc..? ovyoooooooooooo.
wabongo hizo ndio zetu,c o kwenye hicho kizaramo tu peke yk.mambo mengi 2po hivyo!? cjui 2melogwa cc..? ovyoooooooooooo.
Kigogo JF-Expert Member Joined Dec 14, 2007 Posts 20,508 Reaction score 6,183 Nov 14, 2013 #62 Msicheke....soneni hotuba ya jk alipokuja obama ndo mtajua kama kiingereza ni rahisi au kigumu
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Nov 14, 2013 #63 Kiingereza ni kigumu jamani, msimcheke.
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,767 Reaction score 23,198 Nov 14, 2013 #64 kajitahidi Hata ubuyu ulianza kama mchichi
PACHOTO JF-Expert Member Joined Dec 30, 2011 Posts 1,321 Reaction score 973 Nov 15, 2013 #65 mbona kimekaa poa tu kwa mbongo, ingekuwa amekosea kiswahili kweli tungemcheka