Shilole apiga shangwe kuu mwanae kupata Div. 1 kidato cha sita. Asema kuna wakati mama huhatarisha maisha yake kwaajili ya mwanae

Shilole apiga shangwe kuu mwanae kupata Div. 1 kidato cha sita. Asema kuna wakati mama huhatarisha maisha yake kwaajili ya mwanae

we ni mmojawapo wa watukanaji wehu wasiojua kujenga na kuvunja hoja ki weledi. Unajua zamani mwanafunzi akipata one tanzania nzima mtamjua anatoka shule gani? Watu walikuwa wanapata A masomo yote mpaka option halafu wakubwa wanakuchagulia uende kusomea nini licha ya wewe kuwa una mchepuo gani unaoupenda. Kanuni za uandishi zinanibana siwezi kutaja majina na shule zilizotoa tanzania one enzi hizo. Usilete ubishi kutukana wakunga uzazi ungalipo
Narudia tena, ulichoandika ni uongo na upuuzi mtupu. Prove me wrong kwa kutoa mifano halisi. Vinginevyo kaa kimya, hujui lolote.
 
Narudia tena, ulichoandika ni uongo na upuuzi mtupu. Prove me wrong kwa kutoa mifano halisi. Vinginevyo kaa kimya, hujui lolote.
Who are you? Have a look, see what is a perspective in its contexlization. Read it between lines. Times have changed to its routine
 
Who are you? Have a look, see what is a perspective in its contexlization. Read it between lines. Times have changed to its routine
I am somebody who can smell bullshit from a mile away, and you have just spew a big bunch of it.
 
Div 1 ya form four hiyo ndio ngumu kuipata... ila hii ya form six tena hizi comb za arts ukikosa ni uzembe mkubwa sana.
Form four una masomo tisa wengine mpaka masomo 12 ( computer,French ,masomo ya dini, Additional Maths, Food )nk na unahitaji upass masomo Saba tu kwa mantiki kwamba uoate B 4 na C3 tu uwe imepata division one ,ugumu upo wapi hapo?
 
Hili jina la Shilole nimelikumbuka baada ya kutokea tafrani na soshalaite mwingine wakati Shilole huyu aliposema kuwa alikuwa New York na kufanya mipango ya kutoa wimbo kwa pamoja na JLO. Soshalaite yule alikuwa na bloganyake akamponda sana shilole wakatishiana kupigana na mwishowe Clouds wakawaitab studioa kuwahoji.
 
First lady huyo. If you know, you know. Apana chezea shilole la sivyo nitatuma jeshi la Siri.
(Alisikika mtu mzima mmoja akisema)
 
All in all kila mzazi anapenda kuona mtoto wake anapata matokeo bora,suala la ajira ni mambo mengine hayo.Mama anapambania kizazi chake kiwe bora katika siku hizi zijazo angali akiwa na nguvu
 
Mama ntilie wa kishua, Shilole jana ameonesha furaha yake baada ya mwanae Joyce kupata ufaulu wa Division 1 ya 7 akidai yeye aliishia darasa la 7b chini mti. Shilole amesema mwanae amemaliza shule ya emperial kidato cha sita huku akisema ukifika katika shule hiyo unakuta bendera za mataifa mengi nje.

Shilole kasema mwanae anampeleka Canada akasome biashara ili aje amsaidie kuendesha ofisi zake kwa sababu ana mpango wa kufungua matawi mengine.

Shilole amesema kwenye kusomesha wakati anajitafuta ameshaweka hadi hati ya nyumba kwaajili ya watoto wake, Shilole amesema amejirisk vitu vingi sana katika kutafuta ada za watoto wake ikiwemo kuweka vitu rehani kama TV nk.

Shilole amesema katika kusomesha mama anaweza kujirisk hata yeye mwenyewe kwaajili ya mtoto.

Video kwa hisani ya Millard

Kitendo tu cha kutomfanya bintiye kuwa public figure ama celeb kilidhihirisha kuwa wapo watu maarufu wenye skendo za kumwaga lakini hawako tayri watoto wao waishi kama wao. Shilole ni mfano wa hao. Na sikumbuki kama aliwahi kuzunguka media tofauti tofauti akimnanga baba wa mtoto kuwa hatoi matumizi. Ninachokumbuka ni kuwa aliwahi kubakwa na kupata mimba na hiyo ikapelekea kukatisha masomo
 
Back
Top Bottom