Shilole asema kamwe hatoagiza nguo mtandaoni tena.

Shilole asema kamwe hatoagiza nguo mtandaoni tena.

Midekoo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2015
Posts
45,757
Reaction score
246,786
IMG_20180130_093749_261.jpg
IMG_20180130_093809_346.jpg
 
Sasa yy maziwa yake yamelala anategemea nn lzm imkae vibaya tuu wanaovaa izo ngua wenyewe chuchu sa sita kitu mchongoma lzm itamkaa frsh tuu sasa ww lapa ilo unazani nguo itakukaa frsh.
 
Shilole bana, ukashindwa hata kuvaa bra isiyo na mikanda!
 
Hahahahaha. Shish haachi vituko sasa hakujion alivyovaa home au ndo kioo hakidanganyi
 
Huyo dada na kandambili zke ambazo zimelegea utafukiria bibi kizee aache ujinga,kwani alipojaribu akaona kandambili hazienei kwanini alivaa
 
Shilole anajua kusoma vipimo vya nguo? Maana anaweza kulaumu mitandao wakati tatizo kitu kingine.
 
Back
Top Bottom