Shilole atamani kuwa Mkuu wa Wilaya ya Igunga, aja na mikakati

Shilole atamani kuwa Mkuu wa Wilaya ya Igunga, aja na mikakati

Yeye ndiye ameifanya Igunga kuwa maarufu? Ameifanya iwe maarufu kwa wajinga wajinga wenzake... Aliyoifanya Igunga maarufu ni Rostam Aziz
 
Kweli sasa nchi hii inaelekea pazuri.
Atume barua ya maombi kwa mzee baba.

Yajayo tunayasubiria.
Aende magogoni na kanga moja. Mzee akiona ule weupe basi na ukuu wa wilaya anazawadiwa hapo hapo.
 
Ajiandae 2020 agombee udiwani.... anajisemesha ili ateuliwe tu from nowhere.

Mwenzie alipambana hakupata bure.
Afu wanashindwa kuelewa.. Mwenzao elimu kichwani ipo na pia ana exposure.. So thinking capacity yake iko poa ndo maana unaona hata hiyo nafasi pamoja na kwamba watu tulidhani hataimudu but amejitahidi sana kwa kweli. Sasa huyu sijui ndo shilole sidhani hata darasa la nne kama alifika.
 
Back
Top Bottom