Shilole atangaza nia kugombea ubunge Igunga kwa tiketi ya CCM. Apokea simu na sms za vitisho

Shilole atangaza nia kugombea ubunge Igunga kwa tiketi ya CCM. Apokea simu na sms za vitisho

malenga wetu

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
283
Reaction score
198
Msaanii wa muzuki wa kizazi kipya (Bongo fleva) Shilole bado ana nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo lake la Igunga, lakini anahofia maisha yake kuwa hatarini! Shilole anasema amekuwa amepokea simu nyingi kutoka Igunga zinazomtaka ajitose kuwania nafasi hiyo, lakini bado yupo njia panda.

"Unajua siasa ni ngumu mimi bado nipo kwenye mjadala wa kugombea na hii ni baada ya kuona watu wanataka kuongozwa, lakini bado nafikiria," amesema. "Nikiwa tayari nitagombea kupitia CCM. Kitu ambacho kinaniogopesha kiukweli ukiangaliwa watu waliopita ni vijana tu wanakufa mapema kutokana na mambo ya siasa. Siasa inahitaji moyo sana mimi ni muoga sana, naogopa kufa watu wanauwana! Mtu unatamani lakini ndo hivyo," ameongeza.

"Mimi napigiwa simu nyumbani Igunga, watu wengi sana kila mmoja ananiambia ‘tunakuhitaji ugombee yaani baada ya Rostam wananihitaji mimi! Mimi bado nipo njia panda mpaka sasa hivi lakini muda ukifika kila kitu mtasikia."

My Take:
Ina maana Shilole hajui kama baada ya Rostam kuna Kafumu? Ina maana hamjui hata mbunge wake!!!
 
Hammy d njoo huku, Bungeni atakuwa anasugua gaga pamoja kale katoto kake Ka nuhu mziwanda pembeni.
 
Msaanii wa muzuki wa kizazi kipya (Bongo fleva) Shilole bado ana nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo lake la Igunga, lakini anahofia maisha yake kuwa hatarini! Shilole anasema amekuwa amepokea simu nyingi kutoka Igunga zinazomtaka ajitose kuwania nafasi hiyo, lakini bado yupo njia panda.

"Unajua siasa ni ngumu mimi bado nipo kwenye mjadala wa kugombea na hii ni baada ya kuona watu wanataka kuongozwa, lakini bado nafikiria," amesema. "Nikiwa tayari nitagombea kupitia CCM. Kitu ambacho kinaniogopesha kiukweli ukiangaliwa watu waliopita ni vijana tu wanakufa mapema kutokana na mambo ya siasa. Siasa inahitaji moyo sana mimi ni muoga sana, naogopa kufa watu wanauwana! Mtu unatamani lakini ndo hivyo," ameongeza.

"Mimi napigiwa simu nyumbani Igunga, watu wengi sana kila mmoja ananiambia ‘tunakuhitaji ugombee yaani baada ya Rostam wananihitaji mimi! Mimi bado nipo njia panda mpaka sasa hivi lakini muda ukifika kila kitu mtasikia."

My Take:
Ina maana Shilole hajui kama baada ya Rostam kuna Kafumu? Ina maana hamjui hata mbunge wake!!!
Hivi kuna unenguaji katika ubunge?
 
Msaanii wa muzuki wa kizazi kipya (Bongo fleva) Shilole bado ana nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo lake la Igunga, lakini anahofia maisha yake kuwa hatarini! Shilole anasema amekuwa amepokea simu nyingi kutoka Igunga zinazomtaka ajitose kuwania nafasi hiyo, lakini bado yupo njia panda.

"Unajua siasa ni ngumu mimi bado nipo kwenye mjadala wa kugombea na hii ni baada ya kuona watu wanataka kuongozwa, lakini bado nafikiria," amesema. "Nikiwa tayari nitagombea kupitia CCM. Kitu ambacho kinaniogopesha kiukweli ukiangaliwa watu waliopita ni vijana tu wanakufa mapema kutokana na mambo ya siasa. Siasa inahitaji moyo sana mimi ni muoga sana, naogopa kufa watu wanauwana! Mtu unatamani lakini ndo hivyo," ameongeza.

"Mimi napigiwa simu nyumbani Igunga, watu wengi sana kila mmoja ananiambia ‘tunakuhitaji ugombee yaani baada ya Rostam wananihitaji mimi! Mimi bado nipo njia panda mpaka sasa hivi lakini muda ukifika kila kitu mtasikia."

My Take:
Ina maana Shilole hajui kama baada ya Rostam kuna Kafumu? Ina maana hamjui hata mbunge wake!!!

11150497_1422138671425608_8905057214768088179_n.jpg
 
Kwani kugombea ubunge kuna hitaji elimu kiasi gani? ukienda bunge la kenya hutaweza kupata wapuuzi kama hawa! hali ngumu ya maisha ya watanzania ndiyo yanayo pelekea watu kuwa na ma dream ya kuwania ubunge! hadi wasio na elimu hutamani kuingia ikulu!
 
lol huyu atajitundika na bwana wake kwenye maukuta ya Igunga na picha zao za ngono...lol
 
Msaanii wa muzuki wa kizazi kipya (Bongo fleva) Shilole bado ana nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo lake la Igunga, lakini anahofia maisha yake kuwa hatarini! Shilole anasema amekuwa amepokea simu nyingi kutoka Igunga zinazomtaka ajitose kuwania nafasi hiyo, lakini bado yupo njia panda.

“Unajua siasa ni ngumu mimi bado nipo kwenye mjadala wa kugombea na hii ni baada ya kuona watu wanataka kuongozwa, lakini bado nafikiria,” amesema. “Nikiwa tayari nitagombea kupitia CCM. Kitu ambacho kinaniogopesha kiukweli ukiangaliwa watu waliopita ni vijana tu wanakufa mapema kutokana na mambo ya siasa. Siasa inahitaji moyo sana mimi ni muoga sana, naogopa kufa watu wanauwana! Mtu unatamani lakini ndo hivyo,” ameongeza.

“Mimi napigiwa simu nyumbani Igunga, watu wengi sana kila mmoja ananiambia ‘tunakuhitaji ugombee yaani baada ya Rostam wananihitaji mimi! Mimi bado nipo njia panda mpaka sasa hivi lakini muda ukifika kila kitu mtasikia.”

My Take:
Ina maana Shilole hajui kama baada ya Rostam kuna Kafumu? Ina maana hamjui hata mbunge wake!!!

Ajiulize, Sifa kuu anazo? Yaani kujua KUSOMA NA KUANDIKA kwa KISWAHILI au KIINGEREZA. Sifa nyingine ni za ziada eg kukata kiuno etc. Asiogope kufa..
 
Duh!!! nafikiri Shilole yupo sawa, yeyhan tatizo.. mataahira ni wale watakaompa huo ubunge kwa kumpigia kura huku wakijua kazi yek kuba ni ipi?
 
Nae shilole kama Lowasa vile...teh teh... anashawishiwa.
 
😀😀😀😀😁😁😁😂😂😂 mm nasubiri matokeo
 
Huyu anagombea ubunge wa nini? Au anawakilisha mbunye industries ?
 
Back
Top Bottom