Shilole atangaza nia kugombea ubunge Igunga kwa tiketi ya CCM. Apokea simu na sms za vitisho

Shilole atangaza nia kugombea ubunge Igunga kwa tiketi ya CCM. Apokea simu na sms za vitisho

Mimi nimeishia kucheka ati "baada ya rostam basi wananchi wengi wamekuwa wakinipigia cm wakinitaka nigombee"...!
 
Kwa mwendo huu tutarajia viraza wengi bunge la 2016, na ambavyo hajui kujielezea sijui itakuaje
 
Back
Top Bottom