Mpumbavu huyo, ntasikitika sana kama bado anakupasua kichwa hadi sasa!Haa ha ha...aisee kuna demu wangu alikuwa ana tabia ya kutaka nimrudishie zawadi alizonipa tukigombanaa tu anaanza huo usengee.. Siku akanimbia eti tuchange tuanzishe bisharaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mara sijui tujenge msingi kwenye kiwanja chakee me namchoraaa tuuu ila nishajua ni mtu wa aina ganiii
Wala mm hainiumiUkweli mchungu eeeeh? Pokeeeeni hivyo hivyo hakna namna.
Especially mwanamke wa kibongo akiwa na uchumi, elimu ya juu kuliko man ni shida.....Watakuja kubishana ila huo ndio ukweli..Mwanamke akiwa na kipato cha juu anajiona sana.
Huhuhuh ajali kazini tyuuuuh. [emoji23][emoji23]Wala mm hainiumi
Ila Narudia tena kauli hizo ndizo zinawaponza
Ndomana wanaume wengine wanapiga(lkn siungi mkono mwanamke kupigwa)
Ova
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Umeshachukua form ya kugombea jimbo mkuu? Hizi level ni za kuingilia mjengoni kabisa.
kasema wapi?Haya mlokuwa mnasema Uchebe ana gereji yake mmesikia kuwa hiyo gereji kaanzishiwa na Shilole?
Uchebe mwenyewe kwenye mazungumzo yake anakiri wazi kuwa analelewa na Shilole nawashangaa mnaojaribu kutaka kukwepa ukweli.!
Hapo ndio tatizo lililopo, inakuwaje shilole anamzidi kipato mumewe, kwani hiyo miradi sio ya familia?Nasoma comment za watu napata maswali kichwan. Hv n kwel Shilole anamlea Uchebe au Shilole kamzidi kipato Uchebe. Sizan km Shilole ndio anamlea mshikaji km mtoto mdogo ila tu Shilole kamzidi kipato uchebe.
kasema wapi?
Unajua mnapoamua kuanzisha familia lazma mke na mume waje pamoja na kuwa wamoja Sasa km kila mtu anahesabu mm ninakiasi flan na yule anasema na yeye anakiasi fulan au hv ni vyangu na vile ni vya mwingine hakuna ndoa hapo. Watu wamekulia maisha tofauti, km mke alibahatika kuwa na kipato na mwanaume aliyemtongoza na akajua kipato chake mpk wanaoana Sasa suala la kuanza kulalamika yanatokea wapiHapo ndio tatizo lililopo, inakuwaje shilole anamzidi kipato mumewe, kwani hiyo miradi sio ya familia?
Yoyote tu dogoHaswaaaaah mam angu, ivi nkuletee zawadi gan? Vileeeeeh
Kwahio unataka maandiko ya mungu yabadilishwe? Ili yaelekee kutetea dhambi na ushenzi wote unaovunja miiko ya asili!Tatizo waislam hawaupdate dini yao.
Mambo mengi sana wanatumia ya karne za nyuma.
Ubinafsi, kiburi na tamaa zinawaponza!Unajua mnapoamua kuanzisha familia lazma mke na mume waje pamoja na kuwa wamoja Sasa km kila mtu anahesabu mm ninakiasi flan na yule anasema na yeye anakiasi fulan au hv ni vyangu na vile ni vya mwingine hakuna ndoa hapo. Watu wamekulia maisha tofauti, km mke alibahatika kuwa na kipato na mwanaume aliyemtongoza na akajua kipato chake mpk wanaoana Sasa suala la kuanza kulalamika yanatokea wapi
Usjal nakuleteaaah,Yoyote tu dogo
Nyie ndo wale mnaona sawa tu kuzibua mitaro nayo kaziTatizo waislam hawaupdate dini yao.
Mambo mengi sana wanatumia ya karne za nyuma.
Wayapitie maandiko yao kwa misingi gani ? Kwamba yamepitwa na wakati au ?Mimi ni amu.
Kama ni kweli Quran imeruhusu mwanamke kupigwa waislam wanatakiwa wakae chini sasa wapitie maandiko yao.
Kama mambo gani ya karne ya nyuma na hayawezi kutumika karne hii ?Tatizo waislam hawaupdate dini yao.
Mambo mengi sana wanatumia ya karne za nyuma.
Tatizo lipo wapi??Tatizo waislam hawaupdate dini yao.
Mambo mengi sana wanatumia ya karne za nyuma.