Shilole atoa kauli nzito kuhusu Baba Levo, amfananisha na Mwanamke!!!

Nafikiri alimaanisha wamezoeana sana halafu hawa ni watani sana na ni watu wakaribu sana kwa hiyo ukizijali sana habari zao unaweza kupasuka kichwa bure....
 
Hilo la kulala kitanda kimoja bila kufanya chochote siamini bado...
 
Baba levo ujumbe umeupata ufanyie kazi.
Mi sikubali...
 
Haya ndio madhara ya kuzidisha ukaribu na ke unashindwa kula mzigo eti rafiki huwo ni uboya
 
Mbona kwenye hio picha wameloa mijasho,ndio kusema hakuna hata Fan au AC
 
Hahahah huyo baba levo ameyataka mwenyewe .

Hakunaga urafiki wa kawaida kati ya mwanaume na mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…