Mama Lishe maarufu ambaye pia ni Mwanamuziki, Zuwena Mohammed maarufu kama Shilole ameanzisha na kuzindua kampeni maalum inayolenga kuwawezesha Mama Lishe kutumia nishati safi ikiwa kama sehemu ya malengo ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan.
Shilole amesema ameamua kuonesha vitendo katika kufanikisha nia njema ya Rais Dkt Samia Suluhu na kufikia malengo ya kufikisha nishati safi kwa Wananchi wote ikiwemo Mama Lishe ambao wanawahudumia Watanzania walio wengi.
Mama Lishe maarufu ambaye pia ni Mwanamuziki, Zuwena Mohammed maarufu kama Shilole ameanzisha na kuzindua kampeni maalum inayolenga kuwawezesha Mama Lishe kutumia nishati safi ikiwa kama sehemu ya malengo ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan.
Shilole amesema ameamua kuonesha vitendo katika kufanikisha nia njema ya Rais Dkt Samia Suluhu na kufikia malengo ya kufikisha nishati safi kwa Wananchi wote ikiwemo Mama Lishe ambao wanawahudumia Watanzania walio wengi.
Kikubwa hapa sio chakula pekee bali chakula kizuri. Huyu Dada chakula chake sio kizuri ni mawali na chips za kukaanga na sio maziwa, mayai, magimbi na mboga mboga ambazo zinahitajika kwa kaja. Yeye mwenyewe tunamuona umbo lake kwa anayo kula