kwenye interview na Ayo tv aliulizwa where have you been akajibu l am here,duuuuuh japo kingereza sio kigezo cha aina yeyote kwenye maisha lakini ananiacha hoi anapojibu kwa mikogo.Nimemsikiliza huyu mwanadada kwenye interview na Diva… Aisee nimejiuliza anapoendaga huko kwenye nchi za watu huwa anaenda na mkalimani au?
Kizungu kimemchanganya mpaka kaomba kwenda kulala. Na Diva nae anaboa sana ma misifa yake ya kupenda kuongea kizungu. Si aangalie anamuinterview mtu wa aina gani!!!
Jamani ukishakuwa msanii tena maarufu jitahid kujua na kakidhungu kidogo. Huoni hata baba Tiffer hawezi kukiimba lakini angalau kuongea anajitahidi.
Normally I do not urge with stressed & depressed people poleYou're extremely stupid, the topic writer listened to shilole how she failed to express herself when she was being interviewed ,how comes that you defend her? is she your concubine?
Kabisa Wazo langu nakuunga mkono!Kwa background yake na alipofikia amejitahidi sana,aendelee kukaza buti zaidi kwani itamsaidia katika shughuli zake
Saa zingine hua tunajiita majina ambayo yanaendana na vilivyoko akilini mwetu [emoji28] [emoji28]wanamchafua legendary shilole,mwanadada mwenye sauti tamu na nyimbo nzuri za kimataifa,kawaulize wabelgiji wanamvyoshobokea,watanzania mheshimuni shilole,aliwahi kukimbiwa studio na jennifer lopez bada ya JLO kufika na kukuta shilole kaingiza vokali kali.....kama unabisha muandikie e mail producer dark child wa USA atakuambia hilo.