Shilole hajui Kiingereza hata kidogo

Shilole hajui Kiingereza hata kidogo

Yello masai tunachozumza ni kuthamini lugha yako sio lazima ajuwe lugha ngeni kama hawezi aongeee hata kikwao wanaohitaji huduma yake watatumia njia mbadalla kupata huduma yake
Kwahiyo kuna wanaomtafuta shilole kwa kuhitaji huduma yake? Hasa huko nje? Kama ni hivyo sawa
 
Kwanza ni bora hata aongee kiswahiri maana aonyeshe yeye ni mtanzania Halisi hayo mambo ya ulazima ujuwe kiingereza mi siafiki kabisaaaaaaaa mbona wachina wanaongea lugha yao na wapo vizuri kibiashara tuache utumwa

Utumwa wa kiingereza tumeisha kubali shuleni toka form one mpaka chuo tunafundishwa,serikali imekubali kuwa tunatumia lugha mbili kiswahili na kiingereza. Matangazo mengi kwenye maduka makubwa, majengo, barabarani ni ya kiingereza. Leo hii unasema ni sawa mtu kutokujua lugha hii.
 
uzalendo ndo kikubwa tuache kuabudu kwa wenzetu

Uzalendo???? kungekuwa na elimu ya kutumia kizungu kuanzia form one mpaka chuo??? huku ya kiswahili ikitumika shule ya msingi tu??? kwanini noti (pesa) ina lugha ya kiingereza kama sio yetu???

Nimehudhuria mahakamani na ndugu zangu siku moja tulikuwa na kesi, yule hakimu hakuwa anatumia kiswahili unafikiri nani angemuelewa kama hakuna anayeijuwa kizungu???
 
Uzalendo???? kungekuwa na elimu ya kutumia kizungu kuanzia form one mpaka chuo??? huku ya kiswahili ikitumika shule ya msingi tu??? kwanini noti (pesa) ina lugha ya kiingereza kama sio yetu???

Nimehudhuria mahakamani na ndugu zangu siku moja tulikuwa na kesi, yule hakimu hakuwa anatumia kiswahili unafikiri nani angemuelewa kama hakuna anayeijuwa kizungu???
hapo ndo panaumiza saaana mahakamani
 
Lionel Messi ni mzungu lakini hajui Kiingereza. Na Ana Tunzo Nyingi ambazo waingereza hawana.
 
Sidhani kama kuna tatizo lolote hapo. Kuna watu wengi wanaoishi nchi za ulaya hawawezi kuongea English, wengi wanaoishi nchi za bara la Asia hawajui English, wengi wanaoishi Africa hawajui English, hii ina maana sehemu kubwa ya watu wanaoishi katika dunia hii hawaongei English. Ni 13% ya watu wote wote walioko katika dunia hii wanaongea English.
 
Wajerumani ni wazungu lakini hawajui Kiingereza si bora Shilole Mbantu?
Acha uongo mkuu..karibu nchi zote za ulaya lugha ya pili ni kiingereza..hasa hiyo ujerumani unayoisema!labda vibabu..lkn kuanzia 55yrs kurudi chini wote wanachapa ngeli mkuu!
 
Shilole, sina shida na lugha yake alimradi naamini anajizoesha taratiibu, atakijua tu. Ni dalili kua anapenda kuzungumza kuzungumza kiingereza. Ili kutimiza ndogo zake za kimuziki za kuimba na kikongwe jenipher lopez

Tatizo namwona ni mwanamke kwenye "huu" sana much know. Ha- behave kama professional, kama alivyowema sepetu.

Pia shilole ni mrembo anayepiga picha za kununanuna kilawakati kama kidoti enzi zake. Haiba hii inatia hasira, inamwonyesha kama MTU kwenye majivuno yasio na msingi. Ni picha chache sana AME relux kwenye camera.
 
Hata messi wakat anapokea tuzo hakuongea hyo lugha unayoisemea, aliongea lugha ya kwao.
Mwambie basi ahamie England bila kujifunza kingereza uone kama hakutakuwa na tatizo!..kwa taarifa yako hivi sasa ana mwalim special anayemlipa kumfundisha kiingereza!kiukweli wasanii ni muhimu sana kujua lugha ya kiingereza!maana ni international medium of communication!
 
I dream of the day we finally understand that English is just a language, not a measure of intelligence.
 
You are totally wrong, I'm sure she speaks English though not fluent but at least appreciate that then advice her to invest on it.
You're extremely stupid, the topic writer listened to shilole how she failed to express herself when she was being interviewed ,how comes that you defend her? is she your concubine?
 
Sio tatizo kutokujua Lugha ya Malkia. Ila ningekuwa mm yy na kama nina interest ya kukijua, basi ninge invest kwenye hiyo lugha ili niweze kuwa Msanii wa kimataifa zaidi.
 
Back
Top Bottom