Shilole: Kuanzia sasa sitaki wanaume Suruali

ila upendo ni muhimu sana kama ni wakweli! lakini sio kwa huu utitiri wa mariooos jaman wamejilegeza mlenda una afadhali
 
Kawatega huyo, hapo katangaza biashara yake, kazi kwenu wanaume wenye fedha.
 
Itakuwa ngumu sana coz kila mwanaume ni mvaa suruali!!!!!
 
Kwa uzuri gani ulionao, mi nina hela zangu siwezi kuchukua demu kama wewe kibibi!!jina kitu gani wewe utazimika muda si mrefu wengi walikuwepo lakini sasa wako wapi acha ushamba wa kwenu huko igunga, mikorogo imekuchanganya sura mpaka akili
Kaka shishi mkali hakuna mkorogo hapo huyo mwarabu wa Igunga
 
Ndio maana ukimuangalia vizuri utagundua kuwa uso wa kisasa miguu ya kizaman
 
Watu wanamshambulia Kama Hana haki ya kuchagua mpenzi!
 
le mutuz anavaa makaptura havai suruali atamfaa huyo
 
Yalaaaaah
 
Huyu dada hata mbunye anipe bure siwezi kumgonga hanivutii hata kidogo
 
Soon nitajiunga WCB,nimpate shishi!
Mwanamke ni mwanamke tu,hata aweje.
YNWA
 
Bongo hakuna super star zaid ya king Majuto nimekuelewa nyandu mana huyu hata simu yake mbombo
 
Kwa uzuri gani ulionao, mi nina hela zangu siwezi kuchukua demu kama wewe kibibi!!jina kitu gani wewe utazimika muda si mrefu wengi walikuwepo lakini sasa wako wapi acha ushamba wa kwenu huko igunga, mikorogo imekuchanganya sura mpaka akili
lete update mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…